Social Icons

Friday, December 23, 2011

USED CAR IN DUBAI

STORY NA PICHA TOKA KWA MDAU NAMBA MOJA WA MAJOY BLOG...MOJAONE KUTOKA MUSCUT.

Kwa muda mrefu Dubai imekua maarufu sana kwa biashara ya used car, na serekali ya Dubai imefungua sehemu maalumu kwa kazi hiyo, nilipata bahati ya kutembelea kijiji hicho baada ya jamaa yangu mmoja toka TZ kuniomba nimtafutie FUSO.

Nilipofika sehemu hiyo nilishanga sana kuona uwingi wa magari ambayo yalipangwa kutokana na aina zake kama nyanya sokoni, kwa kuwa nilikuwa natafuta FUSO nilienda katika kona ya MAFUSO na mambo kama unavyooyaona ktk picha hizo. Kizuri zaidi ni utaratibu uliowekwa na serekali kwani ofice zote ziko sehemu moja kwa hiyo unamaliza mambo yako yote sehemu moja.
Cheki Fuso zilivyopangwa

Hii ndio niliyomchagulia jamaa yangu

Na baada ya kuzunguka kwa muda mrefu kutafuta FUSO (kutokana na wingi wa magari sio uchache, labda hii labda ile nilipata FUSO niliyoipenda nikamcukulia jamaa yangu, na nilimtembelea baada ya muda nikaikuta ikichapa kazi na kaipa jina la MA YOUNG BROTHER.


Naweza kukusaidia hata ww kupata gari yoyote uipendayo toka hapa Dubai.Kwa yeyote atakaehitaji nipo tayari kumsaidia wasiliana na Majoy anajua jinsi ya kunipata.


Nawatakia Sikukuu Njema na Kheri ya Mwaka Mpya...2012.

MOJAONE.



Hapo ikiwa kazini

Belated Merry Christmas To All....


Make it special for family and friends but don't forget to make VERY SPECIAL to our loved ones.
Nawatakia Kheri ya sikukuu ya Krismasi ifanye kuwa maalumu kwa familia na marafiki na pia iwe MAALUMU SANA kwa wapendwa wenu yaani mke,mume,mchumba au mpenzi wako!!

Nina Ombi Maalumu kwenu ukiona yafaa tafadhali nitumie picha ya pamoja au yako peke yako ambaayo ni maalumu kwa X-Mas kwa ajili ya Album ya X-mas ni maalumu so please send to and will share your moments with others.

Tuma picha kupitia majoy28@gmail.com

NAWATAKIA CHRISTMAS NJEMA!!

Kindness Changes Marriage

Gary Chapman, Executive Editor of Home Life magazine, tells the story of a husband who was intently trying to watch a football game on television, when his wife interrupted to have a conversation. He responded harshly with her. His wife left the room only to return in about twenty minutes to bring him a tray with a sandwich, a drink, chips and a cookie. She kissed him on the cheek and said, "I love you." Then, she immediately walked out of the room. The man said, "I was smitten by her kindness. I knew I didn't deserve it." He turned off the television and went to apologize for speaking harshly to her. He asked for her forgiveness. She said, "Honey, I forgive you because I do love you."

Love is often expressed through gifts. Giving cards with words of love is good. A box of chocolates is most often appreciated. However, the gift of kindness is better than both. You can't put it in a box. You can't always feel it by reading a card. It's not reserved for a special occasion. However, it's the gift for the one special person in your life which can be given everyday. It may taste better than candy, and say more than the words printed on a card.

Kindness has the power to change a marriage. It has the ability to save a marriage in trouble. It's source is love. Kindness is given not as a reward. It's always a gift, an unconditional gift. As a matter of fact, it always means much more when it's not given to reward some one's behavior. It never makes a conditional statement such as, "I'll be kind to you, if you will be kind to me." It's source is always unconditional love. "Love . . . is kind" (1 Corinthians 13:4).

Kindness is for everyday. It strengthens the marriage bond with security and sensitivity. It costs nothing as far as money is concerned, but it is far more valuable to a relationship than any amount of money. It's a gift that many do not have to offer, but there is an abundant supply. It comes from God Himself, because "God is love." He can supply our lives with an endless source of love which is kind. Ask and receive freely. Give freely and abundantly to the one you love.

Marry Christmas & Prosperous New Year 2012 to all Well Wishers of Majoy Blog!!

Thursday, December 22, 2011

NDOA DUME,dunia inaelekea kwisha-DUNIA IMEKWISHA MUNGU ATUREHEMU!!

TUOMBEE NEEMA YA MUNGU IWE JUU YETU NA WATOTO WETU KWA NGUVU ZETU NA
AKILI ZETU HATUWEZI IKIBIDI HATA KWA KUFUNGA
NA KUOMBA ILI KIKOMBE HIKI KITUEPUKE.Ndoa ya Mume na mume hiyo hapo!.......Ni Balaaaaa



ETI UKIULIZA UTAAMBIWA NI MAMBO YA KISASA EE MUNGU TUHURUMIE
NA WATOTO WETU YANI MPAKA TUMBO LA UZAZI LIMENIKATA.
 

Wednesday, December 21, 2011

Majoy Blog Now On Facebook....wow!!!!


Hey my friends hope all is well all over the World. I just want to share with u my dearest friends of  Majoy Blog that we are now of Facebook. You can now access blog updates on Facebook.Thank you all for your kind advice and comments.
Asanteni sana na nimefurahi sana kwa kufanikisha hili leo.Cha muhimu ni wewe mpenzi wa Majoy Blog ku-LIKE kwenye page yetu huko Facebook.
God Bless u all.

Your Dearest,

Joyce a.k.a. Majoy. 

Tuesday, December 20, 2011

Mrembo Afariki Kwa Kansa ya Matiti...

Mrembo aliyewahi kutwaa taji la urembo na kuwa Miss Venezuela mwaka 2000 Eva Ekvall amefariki baada ya kuugua kansa ya matiti kwa muda mrefu.Amefariki akiwa na umri wa miaka 28 ameacha mume na mtoto wa kike wa miaka miwili.

Hapo Akishangilia mara alipotangazwa kuwa mshindi...

Wa pili kutoka kushoto ni Eva akiwa na wenzie waliofanikiwa kuingia tano bora...

Hizo ni baadhi ya picha za Eva enzi za uhai wake akiwa Miss Venezuela.
Mungu ailaze roho ya marehemu Mahali Pema Peponi.Amen

Esher's Birthday....

Baadhi ya picha za Birthday ya Esher kama nilivyoahidi kuwaletea.Kwa mnaoangalia Bongo Movies mtakua mnamfahamu Esher amecheza movie ya Da Shoron,Mrembo Kikojozi,Kisasi cha Utata, Sangoma,Kinyonga na nyingine nimesahau zaitwaje...zote hizo amekamua kisawasawa namwaminia yupo juu sana....Keep going gal utafika mbali kwani Mungu akisema Yes hata wanadamu wakibana ipo siku wataachia tu.

Venue : Esher's Home @ Kijitonyama


My beautiful Esher akijiandaa kukata keki

Keki ilikua tamu i wish mngeonjaaa...

Happy birthday my one n only one sweet wife ndo alisema Nice alipomlisha mkewe keki!!

Kula shoga yangu asante kwa kuja...Esher akimlisha Sarah kipande cha keki

Majoy akilishwa keki ...hapo nilitamani nile yote keki ilikua tamu mno pongezi kwa Esher's hubby Kasanga Nico kwa kuandaa keki tamu namna hii

Kula mume wangu mpenzi nakupendajeee wenye wivu watajibebaaa...Sio maneno yangu jamani Esher huyo wakati akimlisha mume wake mpenzi Kasanga Nico keki ya upendo ktk bday yake

Esher na rafiki anaitwa Kassim kama sikosei...

Majoy na Margareth ktk pozi la kulia keki lol!!!

Lover Birds ....Till Death Do Them Apart ..God Bless u dearest friends.

My best friend ever...Nakuombea kila siku uishi maisha marefu tuzidi kufurahi mpaka tuuone uzee wetu shoga yangu.

Marafiki wapenzi tukiwa pamoja na Esher kumpongeza kwa siku yake ya kuzaliwa....Long Live our lovely friend ooo(sauti ya Kinaijeria!!!)
(Kutoka kulia...Sarah,Esher ,Margareth,Majoy na Arafa)

Monday, December 19, 2011

Happy Birthday To My Beautiful Friend Esher...

Hongera rafiki yangu kipenzi kwa kusherekea siku yako ya kuzaliwa.Nakuombea mafanikio katika familia yako ....ukawe na furaha siku zote na kila uliombalo Mungu alifanikishe.
Happy Birthday love.
Kiss kiss!!

NB: Picha za party kukujia baadae ....usikose!!!

Friday, December 16, 2011

NICE WEEKEND TO ALL

JAMANI WADAU WANGU NAWAPENDA SANA NA NINAWATAKIA WEEK END NJEMA YENYE MAFANIKIO KWA MTAKAYOYAFANYA YAWE YA KHERI LAKINI....


Thursday, December 15, 2011

Signs that he's not INTERESTED IN MARRYING YOU....

How are you my dear friends of Majoy Blog?? I was reading newspapers this morning and find this interesting topic in Woman Magazine and feel to share with my dear followers.Hope you will be interested too and mostly to know where you stand in your current relaltionship.Let get straight to the main issue....

Getting an Engagement ring is great, but after being engaged for several years....what does it really mean?? You want your man tu not just ''Put a ring on it''...you want him to actually whalk down the aisle.

Points to Consider:
  • You Have Been Reduced to Begging:
For the woman who has been doing some serious hinting about getting married; it is often very hard to realizethat conversation about marriage have been placed with begging and pleading. If you have been reduced to begging,it is time to move on.Not only does he not plan on marrying you, but the type of a guy who strings a woman along like this is likely to move on to more complex stalling tactics that can drag on for years without ever tying the knot.
  • An Engagement With No Date Set:
Many guys find that presenting a woman with a Diamond ring is a great stalling technique. The men that have the financial means, can often get years worth of stall time with a large enough diamond. If you've been engaged for more than afew months and you still don't have a date set, then the odds of you walking down the aisle with this man ate extremely slim. The same goes for dates set two or more years into the future.
  • Waiting for the Right Time to Get Married:
It sounds very responsible for your guy to say that he will ask you to marry him as soon as it is''the right time,''but this is usually another stalling tactic. People manage to tie the knot during les than perfect curcumstances all the time, so why cant he?
  • All of His Exes Are ''Crazy'':
Be wary of a man who refers to his former girlfriends as crazy,psycho, or cling - because what's the common de-nomonator here? Him, he never really wanted the relationship to work in the first place and probably has commitment issue.
  • He's Hot and Cold on The Phone:
He'll text you 10 times in a night, then go MIA for days. He'll chat on the phone for an hour, and then ignore your messages for the rest of the week.Wondering what the hell is going on?? We're going to be brutally honest: He's mostly likely busy dating other women.
  • Stuff is Missing From His Facebook Wall:
Has he untagged any photos of you and him? Does he post updates often, yet never mention hanging out with you? Is his relationship stutus hidden? We smell a rat. A guy who's leery of commitment will make sure there are no traces of you on his page.
  • He hasn't Asked You( No explanation needed).
Ooopss!! girls be alerted.Your Time worth a millions DON'T let anyone use you as a bridge to reach where he want to reach.

All  de best ...hope you now know where you stand.....decide now!!

Wednesday, December 14, 2011

Home for the Holidays


The couple had three adult children who were all married and four grandchildren. They were all coming home for the Thanksgiving Holiday to spend a week together with their parents. George and his family lived in Chicago. Pam and her family lived in Tampa. Ron and his family lived in Dallas. They didn't get to spend much time together. This would be a special time for the whole family.

Mom was anxious trying to plan how to cook. Where would everyone sleep? Her home did have five bedrooms. The children and their families were all flying home. The couple had to make sure they knew all the flight schedules. There was much more to do. The more mom thought about it, the more nervous she became. Her husband sensed her stressed and put his arms around her. She just let go in his arms. He said, "Honey, it's going to be okay. I want to help take the stress off you." She smiled and they kissed. What would she do without him? He had always been there for her.

The phone rang. It was George calling from Chicago. "Mom", he said, "we love you and can't wait to be home for the holidays, but we don't want you to worry about anything. I've talked to Pam and Ron, and we are taking care of the meals and all the arrangements." Mom said, "But George, I must cook or it just wouldn't be the same. There is so much I want to do." George quickly replied, "Mom, all of us just want to enjoy being with you and dad. We want you to enjoy the grandchildren, and please let us do this for you. You're special mom. You've already spent a lifetime doing good things for us. Just relax and enjoy being with us."

Points to Consider

Mothers are real special people. They spend their lives trying to do for their family. Let the holidays be a special time to express your love and appreciation for parents. Some of us no longer have that privilege.

Mothers often have a false sense of guilt that they should have done more for the family. A loving mother just can't do enough for her children. The holidays are a good opportunity for children to express appreciation in word and deed.

Holidays with the family is about relationships - enjoying each others company. It's a time to reconnect, celebrate the past and enjoy the moment. The family scattered has limited precious moments together. Make the most of it.

Holidays with the family is a time to express love. It's about the warmth of togetherness with those we love the most. It's time for hugs, kisses, talking with each other, and make sure the camera is ready. Pictures will be cherished for decades to come.

For a family of faith, it's a time to pray together and once again worship together. It's the time to feel the love of God through the family. Renew the bond of love with your family during the holidays.

Happy Holidays dear friends of Majoy Blog.


Tuesday, December 13, 2011

Isidingo Star publicly announces HIV status..


Thursday, 1 December 2011Isidingo Star publicly announces HIV status..

Today being the Worlds AIDS day a former Isidingo star Lesego Motsepe (known as Letti Matabane)South African actress Lesego Motsepe chose World Aids Day to publically disclose for the first time that she was living with the virus for over a decade.
She said she wanted to make a difference. “The virus lives in my blood. For 13 years I had known, and I wanted to use the opportunity God gave me to be able to be a mentor to those who will be going through the same struggles I have gone through,” the actress said.


She said she went through denial, resentment, hate, rejection and dejection from the people that she loved. Now that is what i call courage, it is very diffucult for people to come clean with their status because of the rejection they get from family,friends and relative...God bless you Lesego for the courage!!

Story & Photo thanks to:  http://grace-divinelove.blogspot.com

WASIFU WA MAREHEMU USIO WA KINAFIKI

Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema ‘kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo, karibu ndugu uliyeandaliwa kwa shughuli hiyo’



Msomaji aliyeandaliwa alianza kusoma ‘Ifuatayo ni historia fupi ya marehemu tuliyemlaza ktk nyumba ya milele.
Marehemu alizaliwa juu ya mti amb...apo mzazi wake alijihifadhi baada ya kukimbia mafuriko miaka 26 iliyopita. Hakubahatika kupata kazi ya maana japo alisoma mpaka kidato cha tano, aliamua kuacha shule mwaka juzi baada ya kuona elimu haina mpango kwake. Marehemu alikuwa kero kwa familia yake hasa kwa tabia yake chafu ya udokozi wa mboga, uongo, uvutaji bangi, ubakaji wa mifugo na baadae ushoga.


Mimi binafsi mjomba wake nimefurahishwa sana na kifo cha marehemu huyu kwani alishawahi kunipakazia kuwa nimekufa mara mbili kiasi na kufanya ndugu wote wakakusanyika na kunililia msiba.


Mtoto alitutia hasara sana kwani alikuwa mwizi wa vitu vya ndani na pesa! pia tumepoteza gharama kibao kumsomesha lakini aliishia kuwa shoga tangu tarehe 06/04/99.
Marehemu hakuugua bali kifo chake ni cha kujitakia kwani kajiua baada ya kukosa nauli ya kwenda Mombasa kuhudhuria onyesho la vikundi vitatu vya mduara.

Kwa niaba ya familia, wazazi, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu tunatoa pongezi za dhati kwa Mwenyezi Mungu kwa kutupunguzia kero na asiilaze roho ya marehemu peponi wala asimpumzishe, kama kuna mkong'oto huko ampe kiaina'.


AMINA

Thanks to Ester Ulaya Cuthbert on her Facebook wall...

MAMBO YA FWEZA.....!!



Jamani tuache utani bwana hawa watu wanajua kutumia pesa yaani no kujibana bana wanamwaga tuu.....
nimeipenda hii maana mkitoka hapo maharusi mna-smile sababu hamkosi cha kuanzia.

Photo Credit: BELLA NAIJA

Monday, December 12, 2011

09-12-11-CHINEDU IKEDIEZE aka AKI & MISS NNEOMA NWAIJAH WEDDING





BAADHI YA PICHA ZA HARUSI YA MUIGIZAJI WA FILAMU WA NAIJERIA AKI NA MKEWE NNEOMA.(SORRY KWA KUWA KIMYA KWA MUDA WA WIKI MOJA NIMERUDI SASA)

Friday, December 9, 2011

Happy Birthday Phina...


Today as we celebrate our Independence Day I also celebrate my very best friend's Birthday. Dear I wish you and your family a life full of success in everything you do.

God bless you dear Phina.

HAPPY 50YRS OF INDEPENDENCE TO ALL TANZANIANS.

NAIWATAKIE WATANZANIA WENZANGU POPOTE ULIMWENGUNI KHERI YA MIAKA 50 YA UHURU.
TUSHEREHEKEE KWA KUFURAHIA MAFANIKIO AMBAYO KWA NAMNA MOJA AMA NYINGINE YAMEPATIKANA KWA JUHUDI ZA VIONGOZI WETU.
NDIO MAPUNGUFU YAPO LAKINI KIDOGOKIDOGO TUNASONGA NA IPO SIKU TUTAVUKA.
CHA MUHIMU KUFANYA KAZI KWA BIDII KWA KILA MTU KUSIMAMA KTK NAFASI YAKE ILI KULETA MAENDELEO KTK NCHI YETU.
TUPUNGUZE KULALAMIKA NA TUFANYE KAZI KWA BIDII.

MUNGU IBARIKI AFRICA, MUNGU IBARIKI TANZANIA.

TUMETHUBUTU,TUMEWEZA TUNAZIDI KUSONGA MBELE.

HAPPY INDEPENDENCE DAY MY FELLOW TANZANIANS- 50YRS!

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...