Social Icons

Tuesday, May 28, 2013

R.I.P ALBERT MANGWEHA



Albert Mangweha 'The King of Free Style' aka Ngwear aka cowbama aka cowwizy
You have done your part in this world, Rest In Peace kamanda 

Majoy Blog would like to share our sympathy to the family,friends and fans of the deceased for the loss of their beloved Albert.May our Good Lord comfort you all during this cheerless moment.

r.i.p 



Follow us on www.twitter.com/majoyblog or Like our page onwww.facebook.com/majoy4family

Friday, May 24, 2013

REDD'S MISS KIGAMBONI 2013!






Pichani ni warembo wanaowania taji la Miss Kigamboni wakiwa na Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu aliyekuwa akiwafunda warembo wa Miss Kigamboni, aliwaaambia mambo mbali mbali kuhusiana na masuala ya urembo likiwemo suala la nidhamu na kujitambua katika jamiii.

Shindalo la Miss Kigamboni linatarajiwa kufanyika June 7.



Follow us on www.twitter.com/majoyblog or Like our page onwww.facebook.com/majoy4family

Saturday, May 18, 2013

HAPPY BIRTHDAY JANETH MAGANGA MHELELA



Hey lovely sis Janeth,

Here comes to wish you a lovely and successful day as you remember your birth date.
May God grant you success in everything u touch to be fruitful,may you live long enough to see your grand grand grand children!!

May LOVE be your song everyday sis,
Enjoy your day.....I will make special BBQ for you today so don't forget to pass by at the shop!!!

Happy Birthday mama Michelle/Lian

Kisses and  Hugs!!


Follow us on www.twitter.com/majoyblog or Like our page onwww.facebook.com/majoy4family


Thursday, May 16, 2013

MAYAI FEKI YASAMBAA DAR ES SALAAM


Yanatoka nchi jirani, yatengenezwa kwa umeme
Makala na Denis Mtima na Chande Abdallah
Ripoti ya Wiki hii imegundua kuwa asilimia kubwa ya mayai yanayotumiwa na wananchi wengi kwa sasa ni feki  na yanauzwa kinyemela ndani ya Jiji la Dar.

Baada ya kupigwa vita na serikali miezi michache iliyopita, imebainika kuwa bado yamezagaa na watu wanaotajwa kuyatumia kwa kiasi kikubwa ni wauza chipsi mitaani.
Mayai hayo ambayo hayatofautiani na mayai ya kuku wa kizungu yaliyozoeleka kwa kuwa na muonekano wa rangi nyeupe sana, imebainika kuwa yanatengenezwa kwa kutumia mashine maalum za umeme.

Ili kubaini uwepo wa mayai hayo ambayo serikali kupitia Bodi ya Chakula na Dawa (TFDA), iliwatahadharisha wananchi kutotumia kwa madai kuwa yana madhara kiafya, cha kushangaza bado yamezagaa mitaani kama njugu.
Ripoti ya Wiki imejaribu kufanya utafiti wa kina na kugundua uwepo wa mayai hayo hasa katika maeneo ya Buguruni na Sinza, Dar ambapo ilidaiwa kuwa mzigo mkubwa wa mayai hayo ulitokea nchini Kenya.

Aidha, kuanza kuuzwa tena kwa mayai hayo siku za hivi karibuni, kunatokana na wakazi wa jiji kutojali aina ya vyakula wanavyokula, jambo linalotoa mwanya kwa wachuuzi hao kuyapenyeza mayai hayo kwa siri kwenye mzunguko wa mayai ya kawaida.
Ripoti ya Wiki ilizungumza na mmoja wa wauza chipsi waliokutwa na mayai hayo ambaye alikiri uwepo wa mayai hayo na kubainisha kuwa yanasambazwa na wauzaji wakubwa ambao wanasemekana kuwa waliyanunua kwa wingi kabla serikali haijayapiga marufuku.

"Haya mayai mbona yapo mengi tu. Sinza nzima, ukiuliza unayapata. Watu wengi wanayakataa. Ambao hawayajui tunawabambikizia wanakula," alisema muuza chipsi huyo kwa sharti la kutotajwa jina.

Chanzo: GPL


Tuesday, May 7, 2013

PIC OF THE DAY...



Bonding time.....Esha Salim Buhet (Actress and entrepreneur) but also a lovely mother her baby Clarissa.


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...