ZAWADI YANGU....COMING SOOON!

wibiya widget

Labels

Saturday, May 18, 2013

HAPPY BIRTHDAY JANETH MAGANGA MHELELA



Hey lovely sis Janeth,

Here comes to wish you a lovely and successful day as you remember your birth date.
May God grant you success in everything u touch to be fruitful,may you live long enough to see your grand grand grand children!!

May LOVE be your song everyday sis,
Enjoy your day.....I will make special BBQ for you today so don't forget to pass by at the shop!!!

Happy Birthday mama Michelle/Lian

Kisses and  Hugs!!


Follow us on www.twitter.com/majoyblog or Like our page onwww.facebook.com/majoy4family


Thursday, May 16, 2013

MAYAI FEKI YASAMBAA DAR ES SALAAM


Yanatoka nchi jirani, yatengenezwa kwa umeme
Makala na Denis Mtima na Chande Abdallah
Ripoti ya Wiki hii imegundua kuwa asilimia kubwa ya mayai yanayotumiwa na wananchi wengi kwa sasa ni feki  na yanauzwa kinyemela ndani ya Jiji la Dar.

Baada ya kupigwa vita na serikali miezi michache iliyopita, imebainika kuwa bado yamezagaa na watu wanaotajwa kuyatumia kwa kiasi kikubwa ni wauza chipsi mitaani.
Mayai hayo ambayo hayatofautiani na mayai ya kuku wa kizungu yaliyozoeleka kwa kuwa na muonekano wa rangi nyeupe sana, imebainika kuwa yanatengenezwa kwa kutumia mashine maalum za umeme.

Ili kubaini uwepo wa mayai hayo ambayo serikali kupitia Bodi ya Chakula na Dawa (TFDA), iliwatahadharisha wananchi kutotumia kwa madai kuwa yana madhara kiafya, cha kushangaza bado yamezagaa mitaani kama njugu.
Ripoti ya Wiki imejaribu kufanya utafiti wa kina na kugundua uwepo wa mayai hayo hasa katika maeneo ya Buguruni na Sinza, Dar ambapo ilidaiwa kuwa mzigo mkubwa wa mayai hayo ulitokea nchini Kenya.

Aidha, kuanza kuuzwa tena kwa mayai hayo siku za hivi karibuni, kunatokana na wakazi wa jiji kutojali aina ya vyakula wanavyokula, jambo linalotoa mwanya kwa wachuuzi hao kuyapenyeza mayai hayo kwa siri kwenye mzunguko wa mayai ya kawaida.
Ripoti ya Wiki ilizungumza na mmoja wa wauza chipsi waliokutwa na mayai hayo ambaye alikiri uwepo wa mayai hayo na kubainisha kuwa yanasambazwa na wauzaji wakubwa ambao wanasemekana kuwa waliyanunua kwa wingi kabla serikali haijayapiga marufuku.

"Haya mayai mbona yapo mengi tu. Sinza nzima, ukiuliza unayapata. Watu wengi wanayakataa. Ambao hawayajui tunawabambikizia wanakula," alisema muuza chipsi huyo kwa sharti la kutotajwa jina.

Chanzo: GPL


Tuesday, May 7, 2013

PIC OF THE DAY...



Bonding time.....Esha Salim Buhet (Actress and entrepreneur) but also a lovely mother her baby Clarissa.


Friday, April 26, 2013

BEYONCE AND HER BABY IN PARIS....

Beyonce and her cute baby Blue Ivy Carter spotted when out for lunch in Paris.



Wednesday, April 24, 2013

KAMA BADO HUJASIKIA BASI HABARI NDO HII....SAA YENYE UWEZO WA KUREKODI VIDEO N.K


Tujihadhari na wanaume siku hizi kuna saa zina camera na zina record sauti kwa hiyo tuwe makini saa yenyewe inaonekana ivyo hapo kwa chini ya namba 6 ndio kuna camera yenyewe na kidude cha pembeni microphone na ina recod video pia tuwe makini.hiyo saa ninayo na inauzwa bei rahisi kwa hiyo tuwe makini sana.




Be careful ladies....

SPECIAL THANKS TO YASMIN AMRI KWA KUTUJUZA,NIMESHARE HII KWA FAIDA YA WENGINE SO KAMA VIPI SHARE NA WADADA WENGINE UNAOWAJUA.



Friday, April 12, 2013

JB WEAR LAUNCHING ON FNL YA EATV

Ijumaa iliyopita Jacob Stephen almaarufu kama JB alizindua lebo yake ya JB Bonge La Bwana kwenye T-shirt na Ladies Top kwenye kipindi cha Friday Night Live kinachorushwa na Television ya EATV.


Bidhaa hizo zinapatikana kwenye baadhi ya maduka Dar es Salaam, wa mikoani mnaweza kupata bidhaa zetu kwa kupiga simu namba +255 713 372 194

Kuona yaliyojiri angalia picha hapa chini........







Photo

Pichani ni Marco Kilo ambae ndiye msimamizi mkuu wa mradi huu, kumpata piga namba +255 713 372 194 waweza nunua kwa jumla au rejareja.

Waweza pia nipigia mimi kwa namba +255 753 298 373 na utaletewa T-shirt yako au Top popote ulipo ndani ya Dar.


Sunday, April 7, 2013

IN LOVING MEMORY OF STEVEN KANUMBA R.I.P IT'S 1 YEAR!

Leo ni siku ambayo Watanzania wanakumbuka siku ambayo Msanii mkongwe wa filamu Tanzania Marehemu Steven Kanumba alifariki dunia.

Majonzi huzuni na vilio vilitawala lakini ukweli ulibaki pale pale kwamba ametutoka na kwamwe hatutamuona tena. Cha muhimu ni kumuombea huko aliko apumzike kwa amani.

Pole kwa familia ya marehemu, wasanii wenzake na Taifa kwa ujumla. Kumbukumbu zinaumiza sana lakini nawaombea kwa Mungu wawe na mioyo ya uvumilivu na faraja.

Pumzika kwa amani Steven Kanumba,
Bwana alitoa Bwana alitwaa Jina la Bwana Libarikiwe.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Sunday, March 31, 2013

HAPPY EASTER TO ALL...


Dear friends,fans, followers and all visitors of Majoy Blog you are so adorable, We just wish you all a Blessed Easter.

Thank you for being part of this family.God Bless You All.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Saturday, March 30, 2013

KWA MNAODATISHWA NA MAGARI CHEKI LIMO HIYOOO!!!!!!


Hilo bwana kitu cha Limo kama kilivyokutwa na mmoja wa wana UKZed.com mtaani huko UK.



Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...