Social Icons

Tuesday, August 9, 2011

RAISI KIKWETE NA JUKUMU LA KUMLINDA DR.SLAA!!

KWA kawaida kwenye maisha hata uendeshaji wa nchi kuna siri kubwa lakini kwa hili la sasa hakuna tena usiri bali ni ukweli kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye pia ni mwenyekiti wa chama cha mapinduzi,CCM amejiapiza kuongeza ulinzi kwa kiongozi mkuu wa upinzani nchini na katibu mkuu wa CHADEMA, Dr Wilbroad Slaa.

KWA HABARI ZAIDI INGIA HUMU http://www.globalpublishers.info/

No comments:

Post a Comment

Thank you for your comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...