Nawatakia siku njema nikiwasihi kusheherekea siku hii kwa kudumisha upendo na kuwapatia mapenzi wale wote ambao kwa namna moja au nyingine wanakosa mapenzi labda kwa kuwa ni yatima,wajane au wagane.
Nawapenda sana nawatakia kila la kheri.
Happy Valentine's Day!!
No comments:
Post a Comment
Thank you for your comment