Social Icons

Thursday, January 17, 2013

MAJONZI,HUZUNI NA MASIKITIKO MAKUBWA KUONA WANAWAKE WAJAWAZITO WANAKUFA KILA KUKICHA WAKATI WA KUJIFUNGUA.....

Marehemu akiwa kwenye jeneza pamoja na kichanga chake....so sad

Yani hii habari imenisikitisha sana nakunifanya nitokwe na
machozi.Simfahamu huyu dada ila imeniuma kama mama,mwanamke mwenzetu
amefariki wakati anataka kuleta uhai duniani,Inauma sana.

Mungu tusaidie sisi wanawake ulimwenguni kote hasa Afrika hali
inatisha yani siku hizi ukiwa mjamzito ni mtihani,tumwombe sana Mungu
atusaidie katika hili.

**Picha na Kajunason Blog**

Kusoma zaidi habari hii na Picha Ingia www.kajunason.blogspot.com


No comments:

Post a Comment

Thank you for your comment

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...