Social Icons

Tuesday, July 31, 2012

Monday, July 30, 2012

DO YOU LIKE IT????





DID YOU LIKE ANY OF THIS DESIGNS??
CONTACT ME  VIA majoy28@gmail.com
OR CALL ME ON +255 787 298373

Sunday, July 29, 2012

A MAN VOMIT 2 CONDOMS IN NDOLA ZAMBIA!!!!!!


A THIRTY-seven-year-old man, in a bizarre incident at Ndola Central Hospital on Wednesday, vomited two condoms containing liquids suspected to be illicit drugs.
Hospital public relations officer, Sheona Chalimbana said in an interview that Danny Chilumbi, of house number 4432 Chifubu Township in Ndola, vomited two condoms with liquids suspected to be drugs.
Mr Chilumbi went to the hospital complaining of diarrhoea, but when he was given some medicine, he vomited two condoms containing suspicious liquids.
The condoms were both tied with black strings at the top.
“After he was treated, he vomited out two condoms containing liquid substances that we suspect could be drugs, and so we have handed over those condoms to the Drug Enforcement Commission (DEC),” Ms Chalimbana said.
She said Mr Chilumbi was restless and could not communicate anything as he was in an unstable condition.
He was still vomiting other substances by press time yesterday.
Ms Chalimbana said some DEC officers were guarding Mr Chilumbi’s bed at the hospital.
DEC public relations manager, John Nyawali said in an interview that the commission officers in Ndola had sent the two condoms to the drugs and food laboratory in Lusaka for analysis.
The liquid was taken to the laboratory to determine whether the contents were drugs or not.
He said until the results were obtained, Mr Chilumbi was not free to go home so that he could assist with investigations.

Source: Times of Zambia

JACOB STEPHEN 'JB' NA AUNTY EZEKIEL MABALOZI WA ZUKU SWAHILI MOVIE


Aunty Ezekiel Jacob Stephen
WAIGIZAJI Mahiri katika tasnia ya filamu Swahiliwood Jacob Stephen ‘JB’ na Aunty Ezekiel wamechaguliwa kuwa mabalozi wa channel ya Zuku Swahili movie channel itakayokuwa ikirusha filamu zinazotumia lugha ya Kiswahili, sehemu kubwa ya filamu hizo zitakuwa ni zile zilizosambazwa na kampuni ya Steps ya jijini Dar es Salaam alisema mkurugenzi wa Zuku kwa upande wa Tanzania Johnson.

Aunty Ezekiel
Aunty Ezekiel akifurahia kuwa Balozi wa Zuku Swahili movie.
Stephen Jacob
JB mwigizaji na mtayarishaji wa filamu swahiliwood akifurahia kuwa Balozi wa Zuku Swahili movie Channel.
“JB na Aunty Ezekiel wamepata nafasi ya kuwa mabalozi wa Zuku Swahili movie kwa Tanzania, hii ni hatua moja mbele kwa maendeleo ya filamu Swahiliwood, lakini ni furaha kwa wasanii wenyewe kwa Zuku kuwachagua kuwa mabalozi wa channel inayoonyesha kazi zao za filamu, lakini pia Zuku inakusudia kukuza lugha ya Kiswahili kwa kupitia channel hiyo,”anasema Johnson.
Zuku kwa kushirikiana na Steps Entertainment ndio wanaosimamia channel hiyo kwa ushirikiano na mtayarishaji mkuu akiwa ni ni kampuni ya Steps, channel ya Zuku Swahili movie itaonyesha filamu za kimapenzi, mapigano, Kwaya, Vichekesho na makala pia, uzinduzi rasmi wa Zuku Swahili movie utafanyika mwezi wa nane, 
channel hiyo utaiona kwa
kupitia king’amuzi cha Zuku.

Johnson amewaomba watanzania wanaopenda filamu za Kitanzania kuitumia channel hiyo itakapozinduliwa kwani watapata burudani ya kutosha kupitia channel hiyo iliyokusudia kutoa elimu na burudani kwa wapenzi wa filamu, Komedi, Kwaya, na makala pia.
STORY NA PICHA KWA HISANI YA FILAMUCENTAL BLOG(SWAHILI HOOD PORTAL)

Saturday, July 28, 2012

OLYMPIC OPENING CEREMONY IN LONDON



Am so happy to see Tanzania's National Flag @ the opening ceremony of Olympic today in London.
All the best for Tanzania's representatives.

MMH HII SASA KALI......

Mwanamke huyu akiwa kwenye baiskeli ya miguu mitatu (guta) na mzigo wake kama alivyonaswa na paparazi wetu kwenye makutano ya barabara ya Kawawa na Morogoro jijini Dar es Salaam leo mchana.
PICHA : RICHARD BUKOS / GPL

Friday, July 27, 2012

MARRIAGE: HEART TO HEART



Marriage is a heart to heart relationship. It is more than a legal contract, or even a verbal commitment. It is from the heart. When we refer to the heart, we are talking about the inward person. It is the mind, will and emotions.

When one or both partners have a hardened heart in marriage, there is a silent divorce, and often a legal divorce. 

Points to Consider
Mental transparency is in the heart of marriage. The two minds become as one. That does not mean the married couple never have different opinions. However, they freely discuss their thoughts without exception. Heart to heart marriages keep no secrets from each other. They feel safe to share their innermost thoughts with the one they love.
Sharing desires creates intimacy in the heart of marriage. The marriage probably began because of the desire for each other. We call that "falling in love."
Heart to heart marriage is a strong desire for each other. It is the desire to live with each other, to share their lives with that special person. They are willing to be committed to each other.
Some people feel trapped in a marriage because the desire is gone. Their heart is no longer in the relationship. It becomes platonic and routine. This often leads to silent divorce.
Sharing your emotions is at the heart of marriage. All emotions should be expressed to the person you love. This includes the negative emotions such as anger, jealousy and depression. If a wife can share her emotions freely, including the negative ones, with her husband, the intimacy level rises. 
"Bottled" emotions of the husband or wife can cause non-direct conflict in marriage. Ask often how your spouse feels about different situations. "Tell me what you're feeling now" is an excellent statement to get to the heart. Emotions should be shared freely.
The heart of marriage begins with God. So many people do not understand the need for God in their marriage. Only God can change hard hearts to save a marriage.
When a couple reach a place of difficulty in marriage, it is important for them to pray together. They can ask God to change their hearts and bless their marriage. He will.
The secret of a happy marriage comes from the heart. There are many issues confronting marriages, such as finances, sexuality, in-laws, etc. However, there is really one basic issue, it's about the heart. If it is not really a heart-to-heart relationship, all the other issues are secondary.
         By Dr. Richard Trader 

Thursday, July 26, 2012

NJIA RAHISI YA KUPIKA YA VITUMBUA


Vitumbua
Kwa mnaopenda vitumbua angalieni video hapo chini jinsi ya kuandaa.Njia rahisi sana ambayo wengi hatuifahamu,Nimeitoa hii video You Tube nikaona niwashirikishe sababu hata mie sikuwahi kufikiri kama naweza kupika vitumbua kwa ku-blend mchele.
Haya wapendwa waandalie familia yako vitumbua wafurahie ...binafsi napenda sana vitumbua.


Usisite kutushirikisha jinsi ulivyojaribu kutengeneza vitumbua vyako kwa kufata  maelekezo haya.

Kwa mawasiliano tutumie barua pepe kupitia majoy28@gmail.com

Kila la kheri.

HAPPY BELATED 8th BDAY SHEDRACK ON 18-07-2012


Brothers forever!!!!

SAJUKI APATA GONJWA JIPYA.......WATANZANIA TUZIDI KUMUOMBEA


Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ akiwa na mkewe Wastara.
Gladness Mallya na Erick Evarist
PAMOJA na kwamba afya ya staa wa filamu Bongo, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’ inaendelea vizuri, imegundulika kuwa ana ugonjwa mwingine tofauti na ule uliompeleka India kufanyiwa upasuaji, Risasi Mchanganyiko linakuwa la kwanza kukuhabarisha.
Hivi karibuni, Sajuki alirejea kutoka nchini India alipokwenda kwa ajili ya matibabu ambapo alionekana kuwa na mabadiliko makubwa kiafya jambo lililowapa matumaini mashabiki wake.

HABARI MEZANI
Akizungumza na waandishi wetu, juzi, Jumapili nyumbani kwake, Tabata jijini Dar es Salaam, mke wa Sajuki, Wastara Juma alisema mumewe amegundulika kuwa na tatizo lingine walipokuwa nchini India kwa matibabu.
Alisema, hawakutaka kuweka hali hiyo mapema kwa Watanzania kwa kuhofia kusababisha simanzi, lakini sasa wanalazimika kufanya hivyo ili kuwafanya wajue kinachoendelea kwa staa wao.
“Kwa kweli mume wangu bado anaumwa na amegundulika kuwa na tatizo lingine ila tunamshukuru Mungu anaendelea vizuri,” alisema Wastara kwa huzuni nyingi.

NI UGONJWA GANI?
Kwa mujibu wa Wastara, walipokuwa India (katika Hospitali ya Apollo), Sajuki alifanyiwa vipimo mbalimbali ili kubaini matatizo yanayomsumbua ambapo aligundulika kuwa na tatizo kwenye uti wa mgongo na ngozi ya mwili mzima.
“Ana tatizo kwenye mfupa wa uti wa mgongo, lakini pia anasumbuliwa na tatizo jingine kwenye ngozi. Baada ya madaktari kugundua magonjwa hayo walimuanzishia dawa ya kutibu mgongo na mazoezi kwa ajili ya kumuweka sawa.
“Hizo dawa alianza kuzitumia tulipokuja huku, ambapo pia anaendelea na mazoezi. Tatizo lingine ni hilo la ngozi, ambalo pia anaendelea kutumia dawa,” alisema.

KWA NINI MGONGO?
Akifafanua kuhusu ugonjwa unaoshambulia sehemu ya mfupa wa uti wa mgongo, Wastara alisema madaktari walisema, tatizo hilo linasababishwa na kukaa kwa muda mrefu.
“Jambo hilo tulikubaliana nalo, kwa sababu ni kweli Sajuki huwa anakaa muda mrefu kwenye kompyuta kwa ajili ya kazi zake, lakini pia huwa anaendesha gari kwa muda mrefu. Tunaamini ndiyo chanzo cha ugonjwa huo kama madaktari walivyosema,” alisema na kuongeza:
“Lakini baada ya kupata dawa na ushauri  sasa anaendelea vizuri,  kwa sababu pia anafuata masharti aliyopewa vizuri. Huwa nahakikisha anapata muda mrefu wa kupumzika, hakai muda mwingi na haendeshi sana gari.
“Wamemwambia mambo mengi, hata kuinainama kila mara pia wamekataza. Kimsingi mwenzangu anahitaji uangalizi wa karibu sana. Hata hivyo anaweza kuendelea na filamu ila kwa kuzingatia na scene (onesho) yenyewe, ila kwa sasa anapumzika kwanza ili afya yake itengemae.”

KLINIKI KILA WIKI
Akiendelea kuzungumzia afya ya mumewe, Wastara alisema huwa wanalazimika kwenda Kliniki ya kila wiki katika hospitali moja jijini Dar es Salaam kwa lengo la kuangaliwa maendeleo yake.
Aidha, alisema kila wiki tatu huwa wanatuma vipimo nchini India katika Hospitali ya Apollo aliyokuwa akitibiwa kwa lengo la kuchunguza maendeleo yake.

KUHUSU UGONJWA WA NGOZI
Wastara alisema, tatizo la ngozi alilonalo mumewe bado hajaanza kutumia dozi yake kwa sababu hawajapata fedha ya kutuma India ili waweze kutumiwa dawa zenyewe.
“Tupo kwenye mchakato wa kutafuta hizo fedha, lakini hali bado ni ngumu na anatakiwa kuanza dozi mapema kama madaktari walivyoshauri,” alisema na kuongeza:
“Mwezi Desemba (mwaka huu) anatakiwa kurudi tena ili aangaliwe tena maendeleo yake kwa ujumla. Yote hiyo ni gharama kubwa sana, lakini tunaamini Mungu atatusimamia.”

GHARAMA ZAMTOA CHOZI WASTARA
Alisema kwa namna mahitaji yalivyo mengi na yanayohitaji fedha, wapo kwenye wakati mgumu kuweza kuyakabili.
“Kiukweli bado tunahitaji msaada wa Watanzania wenzetu. Tunashukuru kwa wale waliojaliwa kutusaidia awali hadi kufanikisha safari yetu ya matibabu India lakini watakaoguswa wanaweza kuendelea kutusaidia.
“Mpaka sasa Sajuki hajaanza dozi ya ugonjwa wa ngozi na zipo nyingine anazotakiwa kuzitumia, lakini hazipatikani hapa...ni mpaka India.”

VIDUME VYAMTOKEA WASTARA
 Akizungumzia suala la usumbufu wa kimapenzi, Wastara alisema ni jambo la kawaida na ni kweli kuna baadhi ya wanaume wanatumia udhaifu wa ugonjwa wa mumewe kumshawishi kimapenzi.
“Kutongozwa ni jambo la kawaida kwa mwanamke, lakini mimi kama Wastara msimamo wangu ni kumheshimu mume wangu. Siwezi kushawishika kwa namna yoyote, kwanza hata hamu yenyewe sina.
“Ninachokiangalia kwa sasa ni afya ya mume wangu. Najua nina wajibu mkubwa wa kuhakikisha namhudumia mume wangu kwa mapenzi yote. Akili yangu haipo kwenye mapenzi kabisa, hali aliyonayo mume wangu inaniumiza sana.
“Kamwe sitamsaliti Sajuki wangu. Wema wake kwangu wakati nikiwa kwenye matatizo siwezi kuulipia kwa kumdhalilisha kwa kutoka na mwanaume mwingine eti kwa sababu anaumwa. Anayewaza kufanya hivyo, akajaribu kwingine, siyo kwangu.”

KALAMU YA MHARIRI
Kwa matatizo aliyonayo Sajuki ni wazi yeye na familia yake bado wanahitaji msaada wa hali na mali ili kuweza kukidhi mahitaji ya matibabu yanayomkabili kwa sasa.
Kama Mtanzania mwenzake, guswa na moyo wa utoaji na Mungu wa Mbinguni atakuongezea katika mifuko yako.
Ikiwa umeguswa, tafadhali tuma mchango wako kwenye akaunti namba 050000003047 yenye jina la Wastara Juma Issa iliyopo katika Benki ya Biashara ya Akiba (ACB) au tumia Tigopesa kwenda namba 0713 666113 yenye jina Wastara Juma.

CHANZO:GLOBAL PUBLISHERS LTD

Wednesday, July 25, 2012

R.I.P JOHN EVANS FIFII ATTA MILLS: RAISI WA GHANA

  Rais wa Ghana John Evans Fifii Atta Mills enzi za uhai wake.
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki dunia ghafla leo wakati akipata matibabu.
Taarifa kutoka ofisi ya rais zinasema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali siku ya Jumatatu usiku. Msaidizi wake pia amethibitisha kufariki kwa kiongozi huyo aliyekuwa anajiandaa kugombea tena kiti cha urais. Rais John Atta Mills aliyezaliwa Julai 21, 1944 amefariki akiwa na umri wa miaka 68.

Tuesday, July 24, 2012

AMY WINEHOUSE: ONE YEAR TRIBUTE FROM FANS...

Today marks a one year anniversary of Amy Winehouse's death.

                         Amy Winehouse's tribute from fans in photos....


Fans paying tribute outside her house


Amy Winehouse is an English singer who saturated the American music scene with an arresting voice that complemented her unique mix of jazz, R&B and throwback Soul. Her 2006 album, Back to Black earned five Grammys, the most of any British singer. Her career has often been overshadowed by drug abuse and legal problems that played out in the tabloids, including a rocky relationship with her ex-husband Blake Fielder-Civil. On July 23, 2011, Winehouse was found dead in her London apartment. 

Monday, July 23, 2012

UNATAKA KUJIUNGA NA FREEMASSONS?? SOMA HAPA....


Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,kutoka Clouds FM Gerald Hando akitaka kufafanuliwa jambo kwa undani kuhusiana na mambo ya Freemasons na Sir Andy Chande.
Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akifafanua jambo wakati wa mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,kutoka Clouds FM Gerald Hando nyumbani kwake kuhusiana na mambo mbalimbali yahusuyo Freemasons,ambayo hivi karibuni yalizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa sehemu ya jamii.
Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande akifanya mahojiano na Mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast,Gerald Hando nyumbani kwake kuhusiaa na mambo mbalimbali yahusuyo Freemasons,ambayo hivi karibuni yalizua mtafaruku mkubwa miongoni mwa sehemu ya jamii.

"Huyu ndie Kiongozi Mstaafu wa Freemasons Afrika Mashariki,Sir Andy Chande,na hapa nikiwa nae nyumbani kwake Ukitaka kujua mengi au kujiunga nitafute tu..kumbe ni tofauti kabisa na watu wanavyozungumzia. I love them... lol.....Kwa wale wanaotaka kujiunga nitafuteni niwape masharti ya ukweli badala ya zile stori za mitaani" Simalenga Simon.

Chanzo na hakingowi

Sunday, July 22, 2012

MAMBO 7 MUHIMU MBAYO MSICHANA/MWANAMKE UNAPASWA KUYAJUA KUTOKA KWA MWANAUME...

Edo Daniel ndiye aliyetushirikisha somo hili,fuatilia mpaka mwisho ujue ni nini kimezungumziwa hapa.
1. MWIKO: 
usithubutu kuzungumzi sifa za mpenzi wako wa zamani pindi unapoingia katika mahusiano mapya.. hii inamaanisha hauko happy na mahusiano yako ya sasa.. au unataka mwanaume huyu akufanyie yale uliyofanyiwa kule ulikotoka..... 

2. KUPIKA NI MUHIMU: 

Kujua kupika kunakuongezea mvuto kwa yule umpendae.. restaurants, takeaways and dinner out everyday? hakuna kitu kama hicho.... mfanye mpenzi wako atamani kurudi nyumbani mapema kwakuwa chakula unachopika girlfriend wake ni kitamu kuliko chakula kingine chochote

3. WORKOUT:

Hakuna mwanaume anapenda mwanamke mzembe... jitahidi kufanya mazoezi na kuhakikisha mwili wako uko katika standard.. sio wote mnauwezo wa kuingia Gym lakini jitahidi hata kukimbia kidogo uamkapo asubuhi ili kuufanya mwili wako kuwa sharp.

4.UENDESHAJI GARI
 

Wanaume hatupendi kukosolewa... hivyo basi jitahidi kuliepuka hilo au lifanye kwa busara....

5. USIVUTE SIGARA: 

Wanawake wengi huwa wanajidanganya kuwa akivuta sigara ataonekana sexy na mwenye mvuto.... huku ni kujidanganya.. utaishia kuwa katika mahusiano na masharobaro na hutaweza kupata mwanaume wa maana.. wanaume tu kuvuta sigara wanajikaza... iweje wewe mwanamke uvute??


6. KUWA WAZI NA HISIA ZAKO:
Namaanisha kuwa unapokuwa unahamu na mwenzi wako.. mweleze usiwe mtumwa wa mapenzi kwakuwa wewe ni mwanamke.. mbona Yeye anakueleza pale anapokuwa na hamu na wewe? kwanini wewe usimweleze?? unapokuwa na hamu na mzee mueleze.

7. SHORTCUTS: 

Simaanishi njia ya kukatisha ila majibu ya shortcut kama "WHATEVER","Fine", "cool" and "As u Wish" "k" hakuna mwanaume anaependa majibu kama hayo.. if u love that man why umpe majibu ya shortcut??

WENYE MASIKIO NA WASIKIE...



SHUKRANI KWA EDO DANIEL KWA HISANI YA  www.mvutokwanza.blogspot.co

Saturday, July 21, 2012

RAMADAN KAREEM TO ALL MUSLIM FRIENDS..





Wishing you all a Peaceful and Blessed Ramadan 

With lots of love,
Majoy..

Wednesday, July 18, 2012

SUPPORT MISS TANZANIA IN THIS YEAR MISS WORLD 2012...

Sweet Home: SUPPORT MISS TANZANIA IN THIS YEAR MISS WORLD 2012...: Dear fellow Tanzanians within the country and in a diaspora, could you kindly support Miss Tanzania who is representing our beautiful cou...
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...