Social Icons

Monday, October 31, 2011

MIAKA MITANO YA 8020 FASHION BLOG

ILIFANYIKA TAR-30-10-2011 KATIKA UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE VIP HALL.
HONGERA SHAMIM NA MUNGU AKUJAALIE UJE USHEREHEKEE MIAKA 50 YA BLOG YAKO.KILA LA KHERI LADY NIPO NYUMA NIKIFATA NYAYO ZAKO.
BAADHI YA PICHA ZA WALIOHUDHURIA HAFLA HIYO........

Shamimu aka Zeze mmiliki wa duka la 8020 fashion na 8020 fashion blog

Kisa wa Kiki's Fashion

PRETTY SINTA ndani ya vazi la kanga umependeza shosti mashallahh

Hawa hii imenivutia sana na ninatangaza rasmi kuikopi soon lol!!

My bestito Ester Ulaya Cuthbert...nimependa nguo yako umependezaaa

Shosti Kimmly Majid

Shamim na waheshimiwa wabunge

DINA MARIOS......HUWA NAPENDAGA SAUTI YAKE AKIWA STUDIO SO SWEET

Ulipendeza sana dear Zeze simple but PERFECT...

Dina Marios, Shamim na wengine siwajui kwa majina

Shamim akikata keki

Maznat na Joyce Kiria nawapendaga sana hawa wadada they are SMART' wanajua wanachotaka na wanafanya hicho.

HONGERA SANA ZEZE NA 8020 FASHIONS.

YALIYOJIRI WEEK END - JUMAPILI

Niliamka mapema sana nikawahi church misa ya kwanza baadae nikarudi home kuandaa chakula cha mchana sababu mama yangu alikua anakuja kutoka Morogoro(Ndo Kwetu) kunitembelea.Nilimpikia chakula akipendacho nae alifurahi sana.

 
Me and my lovely momy


my precious son DerrickSameer


Mama akila chakula anachopenda ugali na mlenda kwa  samaki wakukaanga


Hii ilikua yangu nilikulajeee sipendi ugali ila kwa mlenda weee huwa najiachia mpaka basi lol!!!


Kama vipi karibu tule........

Baada ya hayo yoootee mama aliondoka zake kurudi Morogoro na ilipofika usiku mie na Esher tulitoka kwenda kujipa raha kidogo maeneo ya Tabata ndani ya Swiss Pub kuangalia Band ya Remmy Ongala inayoongozwa na mtoto wake. Ilikua raha sana tulicheza kupita kiasi.....

Tazama picha.......

Hapo Derrick alikua anabembelezwa ili tumtoroke


Majoy ndani ya Swiss Pub.........Umecheki unyayo mwekundu kwa mbaaaaliii lol!!


Muziki umekolea kitu cha Live Band......

Tuliondoka hapo mida ya saa nane hivi ila tuliinjoi sana.

YALIYOJIRI WEEK END - JUMAMOSI

Kwanza nilichelewa sana kuamka maana nililala late sana, nilipoamka nilifanya shughuli za hapa na pale ikiwemo kupika maana msaidizi wangu week end huwa anapumzika kama nikiwepo home namsaidia kuandaa chakula cha familia na yeye anafanya kazi ya kumuangalia mtoto.

Mida ya saa nane hivi nikiwa na marafiki zangu Edo,Maggie na Esher tuliondoka zetu kuelekea uwanja wa Taifa kuangalia mechi kati ya Simba SC na Yanga SC mimi na wenzangu tukiwa ni mashabiki wa ukweli wa Simba SC.
Tazama picha za matukio mbalimbali ya shangwe za kuishangilia timu yetu ya Simba SC.
Edo, Esher na Maggie

Sisi ni Simba mpaka damuniiii

Hapo wakiingia uwanjani kwa mbweeembeee kumbe twaenda pokea kipigooo!!

Jua lilitukomesha lilikua kali mno.....upenzi kazi sana

Jua lilikua kali sana lakini tumo tu ushabiki toka rohonii

Esher na shabiki mwenzetu tulimpenda tu alivyovaa

MASHABIKI WA UKWELIIIII

Simba SC timu kubwa bwana hadi watoto walivaa red kuisapoti

Esher na Mashabiki wake wa movie nao wakiwa ni mashabiki wa ukweli wa Simba SC

Mashabiki wa Simba na Majoy Blog

Ice cream time ......


Tuliondoka kwa shangwe kama hatujafungwa vileeee

Na siku hiyo ikaishia hapo kwa kila mtu kurudi makwao.....


YALIYOJIRI WEEK END - IJUMAA

Baada ya kazi nilikutana na marafiki zangu maeneo ya Mlimani City pale Mary Brown kwa ajili ya mazungumzo kidogo na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali ya kimaisha.


Umeona heleni na top vilivyomatch??....hawt!!

Hata cjui kilichotuchekesha lol!!

Majoy na Esher my lovely age mate


Majoy na Rahabu

Rahabu na Hawa

Rahabu n Hawa ni marafiki ambao tunajuana kupita kiasi tulisoma wote shule ya msingi mpaka sekondari huko Mgeta vijijini.

Mwisho kabisa Ijumaa yangu ikaishia nyumbani kuangalia movie na kucheza na mwanangu hiyo ilikua mida ya saa tatu .kufika saa nne mtoto akalala na mi nikacheki movie mpaka saa kumi usiku then nikajilalia zangu.

Friday, October 28, 2011

NICE WEEK END TO ALL

HEY ALL ENJOY YOUR WEEK END...KWA WALE WATAKAOENDA TAIFA KESHO KWA MECHI YA SIMBA NA YANGA TUTAKUTANA HUKO...

BAADHI YA NJIA YA KUZIKABILI STRESS ZA MAISHA

Katika Maisha tunapitia mambo mengi sana ambayo kwa namna moja au nyingine hufanya maisha kuvutia au sometimes kukarahisha, Hii ni hali ya kawaida kwa Binadamu hivyo basi yabidi kukubaliana nayo coz hizo ni just 'ups' n 'downs' katika maisha ila chamsingi ni kutokata tamaa na daima kusonga mbele. Kero za maisha(stress) husababishwa na mambo mengi sana ikiwemo Ugumu wa maisha,kazi, mapenzi,Familia,Masomo n.k

Ungana nami Edo Daniel (pichani hapo juu) kujua baadhi ya MAMBO MUHIMU yanayoweza kukuongoza kupambana na hizi kero za maisha(stress) ni kama zifuatazo:-

1. UGUMU WA MAISHA
Hili ni tatizo kubwa Duniani kote hivyo basi haina haja ya kujipa stress kama maisha yamekua magumu kwako basi ndiyo mwisho wa kila kitu cha msingi ni kuweza kumiliki ulivyonavyo kinachotutesa wengi wetu ni kutaka mambo makubwa wakati uwezo ni mdogo. Yanini ukakope ili kuweka heshima mtaani au kujifanya unakula burger daily wkt kipato chako ni cha chini?
Kua simple fanya vitu vya uwezo wako hapo daima utaenjoy chamsingi ni kua na malengo ya maisha yako si vyema kuishi maisha kwa kuiga wengine mana hujui njia walizopitia. Pia ni muhimu kuweka akiba kwa ajili ya mabadiliko yoyote katika maisha kumbuka leo unafanya kazi au unapata pesa lakini ipo siku unaweza ukafukuzwa kazi au hutopewa tena pesa so yabidi kujiandaa kwa kipindi kama hicho.
Remember Self Commitment is what matters in everything you do.

2. KAZI
Kazi halali humfanya mtu kua na amani moyoni hata kwa mwenyezi Mungu hivyo ni muhimu kufanya kazi kwa bidii.Kazi pia humfanya mtu kuheshimika machoni pa wengine hata kama ukipatacho ni kidogo. Ikumbukwe kuna watu wengi sana wako mitaani wakitafuta kazi hivyo ni muhimu kumshukuru Mungu kama wewe ni kati ya wateule wake. Ukiwa kazini mambo mengi hutokea kama kukwaruzana na Bosi au wafanyakazi wengine lkn hiyo haipaswi kukunyima raha au kukukatisha tamaa kwani daima binadamu hatuko sawa na hiyo ilishawahi kuwatokea watu wengi sana duniani so usijione kama 'jumba bovu limekuangukia'.

Ukiwa katika foleni tazama nje utakuta ombaomba wengi hao hawakupenda kua ombaomba wala hawakuzaliwa hivyo so tutunze kazi zetu na kuzipenda pia.
kwa wale ambao bado wanatafuta kazi msikate tamaa yaweza kupita muda mrefu usipate kazi hiyo yaweza kua ni somo ambalo umepewa ili utakapopata kazi uweze kuithamini, chamsingi ni kusali na kumwomba Mungu katika yote uyapitiayo.
Remember PRAYER is an essential element in human survival.

3. MAPENZI
"Mapenzi yana run dunia" ni kati ya misemo maarufu duniani kuhusu mapenzi. Kiukweli uchaguzi wa nani uwe nae ni muhimu sana katika kukuondolea stress maishani trust me kama ukichemka hapa ndo umechemka maishani na utabaki na stress milele so what should you do? Kwanza ni kujitahidi kua na mpenzi mmoja ambae moyo wako umeridhia kua nae mtu ambae ukiwa nae unajickia faraja,mtu ambae mnaendana kifikra na kiimani ikumbukwe " Love is the spiritual relationship" so spiritually muwe mnaendana kwani kwa kufanya hivyo itapunguza stress ktk maisha mana hakutakua na kupingana katika maamuzi ya nini kifanyike muda gani.
Stress nyingi huletwa na watu kua na wapenzi wengi na kudhani kama wanapata 'Total satisfaction' huko ni kujidanganya hakuna jipya unalolipata kwa kua na wapenzi tofauti tofauti zaidi ya magonjwa na kuzidisha stress. 'Kama huridhishwi na unachokipata zungumza na umpendae ukupatie ili maisha yaendelee'.Pia ni muhimu kutokua na rush katika swala la ndoa kwani ni muhimu sio kukimbilia kuoa bali ni kua na uhakika na huyo unaempa maisha yako awe mwenza wako. Muhimu pia kumshirikisha Mungu katika uchaguzi wako wa nani uwe nae kwani mume au mke mwema anatoka kwa Mungu.

4.FAMILIA
Familia ni kiungo muhimu kinachoweza kukuongezea au kukupunguzia stress hivyo basi familia inabidi ichukuliwe kwa makini sana. Familia yatakiwa iwepo kukusuport na kukushauri lakini usikubali familia kukuharibia mipango na malengo yako. Ni vizuri kusaidia mambo ya kifamilia lakini kamwe usiruhusu mambo hayo yachukue kila furaha uliyonayo maishani.
Yani kama unao uwezo wa kusaidia ni vizuri ukasaidia itakupa baraka kwa Mungu na kwa yule umsaidiae. Lkn kamwe msaada usizidi uwezo.Ikiwezekana hata waweza kuwapotezea wanafamilia in the process of making good life mana mwisho wa yote utabaki wewe kama mama/baba wa familia na hao wengine watakua na familia zao.
Vivyo hivyo hata kwa marafiki pia kama unaona hawakusaidii lolote let them go.

5. MASOMO
Kusoma kwa bidii na kuzingatia kinachokufanya usome ni njia nzuri ya kuepukana na stress zinazosababishwa na kufail mitihani au kupanic wakat mitihani ikikaribia.
Hakuna uchawi katika masomo ni kwamba tunatakiwa tu kuweka fikra zetu na muda wetu kusoma mambo mengi ili kuepukana na stress za sup na failures ktk masomo.

Najua kuna mambo mengi ambayo ukiyafanya waweza kua stess free man/woman chamsingi ni KUTHAMINI ZAIDI MAISHA YAKO NA KUYACHULIA KAMA NDO KILA KTU KWAKO. Ukitaka chukua ukiona haikusaidii achana nayo mana hizi sio fomula.



Shukrani kwa  Edo Daniel.......

Thursday, October 27, 2011

TUTORIAL ON HOW TO TIE GELE OO (LAUGH AND BE BLESSED)


HAYA WAPENZI LEO NIMEWALETEA MAFUNZO YA JINSI YA KUFUNGA LEMBA LA KINAIJA NAJUA WENGI HUWA MNAWATAMANI SANA ILA HAWAJUI ...PATA DARASA KUPITIA VIDEO HAPO JUU.....

Wednesday, October 26, 2011

How to Flirt Through Text Messages.....

HELLO everyone around the planet, As i promised yesterday that i will give u some hints on what to DO and NOT TO DO when planning to FLIRT someone through text messages.
Here are what u should consider to be successful in your plans.....
  • Don't try to get someone to like you just over text messages.
  • Be constant; don't flirt just over the phone and not in person, because he'll think you're joking.
  • If they have to leave for a minute, don't keep texting them until they get back; it's annoying and seems clingy.
  • As with all flirting, don't come on too strong.
  • Call him babe or baby some times.
  • Also don't be too pushy and don't say I like you over a text, that freaks them out.
  • Text them things they will remember you by, so that you come up in their mind over the next day.
  • Don't assume someone is mad through text without asking them.
  • Joke with him, ask what he likes, and stuff like that!
  • Use the 1-6 minute reply rule. Don't text back immediately.
  • Make the guy feel special. Sometimes only text him not other people just make sure you DO text other peeps too!
  • Don't always text him. Hang out with him outside of the phone sometimes.
Warning.
  • Make sure you send it to the right person
  • Be careful who you let read your text messages.
  • Don't just ramble on. Being boring is anti-flirting.
  • Don't always be the one to text first. Let him text you first once in a while, because he could get annoyed.
  • Check your spelling and grammar. You don't want him/her to misunderstand what you wrote and take it the wrong way, or not even understand what you meant at all
  • DON'T text him every single minute of everyday! He will start thinking that you are a stalker and stop answering.
  • Make sure that if you are talking (i.e texting) privately then do not show any one but people whom you respect.
  • Don't re-send messages. Getting the same message 8 times gets really annoying.
  • Don't try to over do it
  • Don't let the texts be as flirty if you are already dating someone, you never know who could see it.
Hope you will find something to help u.
God bless u.

Majoy

MY VERY CLOSE FRIENDS WITH THEIR KIDS....

Princess Dina with her cute kids

Esher with her beautiful Clarissa

Hilder with her cute boy Geofrey

Janeth with her cute Michelle

HEY GUYS I HAVE SO MANY FRIENDS AND THESE ARE SOME OF MY CLOSE FRIENDS WHO HAVE BEEN BLESSED TO BE A MOTHER. BEING A MOTHER IS A BLESSING AND BECAUSE OF THAT .....AM TAKING THIS OPPORTUNITY TO PRAY FOR ALL MY FRIENDS WHO WISH TO BE A MOTHER OUR GOD IS GREAT SO NEVER LOOSE HEART KEEP ON PRAYING AND UR WISH WILL BE GRANTED AND YOU WILL HAVE THE CHANCE TO ENJOY A MOTHERHOOD .
I LOVE U ALL GUYS AND AM ALWAYS PRAYING FOR US AND OUR KIDS TO GROW AND BECOME WHAT THEY WISH TO BE.
GOD BLESS U ALL.

MAJOY.

Tuesday, October 25, 2011

GENEVIEVE USO KWA USO NA CHRISTIAN LOUBOUTIN

Genevieve akiwa na French Luxury Shoemaker Christian Louboutin designer anaewachengua maduu wa ki-TZ na kwingineko ulimwenguni sana sana kwa viatu vyake vyenye hadhi ya kisupastaa ambavyo vinaongoza katika soko kwa kuuzwa bei mbaya.



Pichani 'JUU 'ni baadhi ya viatu maarufu sana siku hizi vyenye chata ya designer maarufu na expensive sana anaekwenda kwa jina la Christian Louboutin(CL).


HUYO NDO BWANA MKUBWA MTAALAMU ALIYEVUMBUA  KITU CHA CL aka UNYAYO MWEKUNDUUU!!


Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...