Social Icons

Sunday, March 31, 2013

HAPPY EASTER TO ALL...


Dear friends,fans, followers and all visitors of Majoy Blog you are so adorable, We just wish you all a Blessed Easter.

Thank you for being part of this family.God Bless You All.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Saturday, March 30, 2013

KWA MNAODATISHWA NA MAGARI CHEKI LIMO HIYOOO!!!!!!


Hilo bwana kitu cha Limo kama kilivyokutwa na mmoja wa wana UKZed.com mtaani huko UK.



Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Thursday, March 28, 2013

MBUNGE WA CHAMBANI SALIM HEMED KHAMIS AMEFARIKI DUNIA


Breaking News:Mbunge wa Chambani Salim Hemed Khamis,amefariki dunia muda mfupi uliopita katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili .Taratibu za kuusafirisha mwili kuelekea Pemba kwa mazishi zinafanyika.

CHANZO: ITV


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Monday, March 25, 2013

AKUFAAE WAKATI WA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI....


Msemo huu umedhihirika leo baada ya Mrembo aliyewahi kuwa Miss. Tanzania 2006 Wema A. Sepetu amemuokoa rafiki yake Kajala Masanja kifungo cha miaka nane jela kwa kumlipia faini ya Sh. 13m

Majoy blog inakupa pole Kajala kwa maswaibu yaliyokupata na mshukuru Mungu kwa kukuletea mwokozi Wema kwa wema wake.

Wema wewe ni mwema kama jina lako Mungu akuzidishie saba mara sabini pale ulipopunguza.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

TUJIHADHARI NA MANABII WA UONGO!


Kwa wale wenye imani kama yangu(WaKristo) tunasoma kwenye Biblia kwamba siku za mwisho kutakua na mambo mengi sana yatakayotokea kuashiria mwisho u karibu!!

Mambo kama haya kuwepo na manabii wenu watakao tumia Jina na Yesu kinyume,watu kupenda pesa kuliko kumpenda Mungu,Watu kupenda pesa,mauaji ya kutisha na vita vya wenye kwa wenyewe.

Ndugu zangu tunmuombe Mungu sana kila mtu kwa imani yake maana hali ni mbaya. Tuwe makini sana na haya makanisa yanayohubiri miujiza kila siku.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Sunday, March 24, 2013

ANAETUMBIA LEO....JACK PENTEZEL



Everything is on point,nice wedding dress, nice make- up, nice decoration(Hinna)...a beautiful bride indeed.

All the best in your new life as a wife Jacqline Pentezel.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

RAIN IN DAR....

THIS IS HOW DSM IS WHEN IT RAINS IN MOST OF AREAS AROUND TOWN. IT'S MORE WORSE IN SOME AREAS WITH NO DRAINAGE.

Photo by:Majoy

Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Saturday, March 23, 2013

HAPPY 17TH WEDDING ANNIVERSARY TO OMOTOLA J. EKEINDE & HUBBY CAPTEIN MATHEW IKEINDE

Mwigizaji maarufu ambae pia ni Mwanamuziki wa Nigeria Omotola maarufu kama Omosex leo yeye na mume wake wanatimiza miaka 17 tangu kufunga ndoa.

Kwa mijibu wa vyombo vya habari nchini kwao hasa magazeti na blog wamemnukuu Omotola akimsifu mumewe kuwa ni mume bora na zaidi ni rafiki na baba pia tangu baba yake mzazi afariki dunia miaka mingi iliyopita.

Imeelezwa kwamba leo ni siku ya kuzaliwa kwa mume wake huyo ambapo miaka 17 iliyopita siku ya kuzaliwa ya mume wake kama leo ndoa yao ilifungwa.

Majoy Blog inawatakia mafanikio mema katika kila wanachofanya kwenye maisha yao ya kila siku.

Happy Birthday Captein Mathew Ikeinde and Happy anniversary to the couple.

Moja kati ya Tweet za Omotola kuhusu anniversary yao:-

"17yrs ago, on your birthday we got married! Remember it like yesterday! The Best husband, Best father and my Best friends. Life with you is fun!"



Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia
Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Friday, March 22, 2013

JACK PENTEZEL aka JACK WA CHUZ AFUNGA PINGU ZA MAISHA...








Ushahidi wa picha kuhusu ndoa ya Jack Pentezel au Jack wa Chuzi kama alivyozoeleka afunga ndoa na mwanaume anaejulikana kama Gadna.

Majoy Blog inawatakia maisha mema.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Wednesday, March 20, 2013

MAYBELLINE TWO WAY POWDER FOUNDATION ZINAUZWA BEI POAAA....


Haya wadada warembo poda hizo zinauzwa kwa bei poa kabisa. Zipo chache sana, wahi ujipatie yako inayokufaa.

Bei ni sawa na bureee!!!

Piga simu namba 0753298373.


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Tuesday, March 19, 2013

NAHITAJI MAONI YENU NA USHAURI......

Wapendwa wangu nachukua nafasi hii kuwashukuru wote ambao kila siku mmekua mkitenga muda wenu na kupitia blog yangu. Sio kwamba hamna cha kufanya au hakuna cha kuangalia bali mnathamini mchango wangu katika kuhabarishana,kufundishana na wakati mwingine kuburudishana,NASEMA ASANTE SANA. Ili kuboresha blog hii naomba mnisaidie mawazo nini kifanyike ambacho mngependa kiwe kinawekwa humu? Nitafurahi sana kupata mapendekezo yenu zaidi kwani kuna walioomba post nyingi ziwe kwa Kiswahili badala ya kingereza hilo nimelipokea lakini ningependa kujua zaidi kutoka kwenu wapendwa. Natanguliza shukrani za dhati kabisa. Nawatakia siku njema na utendaji mzuri wa kazi. 

 Majoy.


Monday, March 18, 2013

MAKAHABA VIKONGWE WASTAAFU KUFANYA UKAHABA....


Ama kweli hapa duniani ukistaajabu ya Musa utaona ya firauni.

Kujua zaidi kuhusu historia ya maisha ya mapacha hawa gonga hapo chini....


Chanzo: GPL


Joyce Mahila. Marketing Manager. Nitramek Investment. Lusaka Zambia

Saturday, March 16, 2013

CONGRATULATION JANUARY MAKAMBA...NAMED YOUNG GLOBAL LEADER


THE World Economic Forum (WEF) has named the Deputy Minister for Communications, Science and Technology, Mr January Makamba, one of its 2013 Young Global Leaders (YGLs).

Mr Makamba, who has been recognised for his professional achievements and commitments to society, joins other 198 honourees from 70 countries in the developed and developing world to constitute the YGL Class of 2013.

The honourees, according to WEF, are expected to co-create a community of insight and action that is committed to improving the state of the world. The YGL Class of 2013 is composed of honourees from all sectors, with half of them coming from business and the other from arts and culture, academia, civil society, government, media and non-profits.

Some 42 per cent of the selected leaders are women. Mr Makamba said he was humbled and honoured for the recognition and promised to use the opportunity to learn from his co-honourees and use the knowledge for the development of the country.

A statement issued by WEF shows that 45 of the honourees come from East Asia, Europe (49), Latin America (16), the Middle East and North Africa (12), North America (40), South Asia (18) and sub-Saharan Africa (19).

Drawn from a pool of several thousand candidates, the 2013 YGLs were selected by a committee, chaired by Queen Rania Al Abdullah of the Hashemite Kingdom of Jordan. The choice was based on the proven track record of the individual, his or her leadership experience, ability to overcome adversity and commitment to society.

WEF Founder and Executive Chairman, Klaus Schwab noted that the YGL forum provides a unique effort to engage the younger generation into the management of global affairs, working together and being integrated into the larger Forum community.

The 2013 honourees will become part of the broader Forum of YGL community that is currently composed of 756 outstanding individuals. The selected leaders are to meet at an annual summit to be held in Yangon, Myanmar between June 2 and 5, this year.

Source: Jamii Forum


Joyce Mahila- Marketing Manager-Nitramek Investment- Lusaka Zambia

Thursday, March 14, 2013

CONGRATS MONICA MUSONDA...


Zambian lady who is a Founder and CEO of Java Foods selected as World Economic Forum Young Global Leader 2013.

Monica Musonda, Founder and Chief Executive Officer of Java Foods has been selected as one of the 2013 World Economic Forum Young Global Leaders.  The honour is bestowed each year to recognize the most distinguished leaders under the age of 40, amongst thousands nominated from around the world.  Young Global Leaders represent the future of leadership, coming from all regions of the world and encompassing business, government, civil society, arts & culture, academia and media, as well as social entrepreneurs.
Her Majesty Queen Rania Al Abdullah of the Hashemite Kingdom of Jordan chairs the selection committee and the nomination is in recognition of Ms Musonda’s professional accomplishments, commitment to society and potential to contribute to shaping the future of the world through inspiring leadership.
Other African nominees as Young Global Leaders in 2013 include South African parliamentarian Lindiwe Mazibuko, Nigerian founder of Flying Doctors Ola Orekurin, and Liberian founder of Face Africa Saran Kaba Jones.  This year’s class comprises 199 young leaders from 77 countries –http://www3.weforum.org/docs/YGL13/WEF_YGL13_Honourees.pdf
Commenting on Musonda’s nomination, Dr Tukiya Kankasa-Mabula, Deputy Governor of the Bank of Zambia said: “I have known Monica for 20 years and this is a well-deserved recognition for her hard work and dedication.  Monica’s strategic, forward thinking and influencing skills are clear qualities of a future leader and I would like to congratulate her as only the third Zambian to be named as a Young Global Leader.”
Biography
Monica is the Founder & CEO of Java Foods, a food processing company established to provide affordable nutrition to the mass market by processing Zambia’s high quality wheat into instant noodles (under the brand name “eeZee noodles”) and pasta.  Java’s first plant will be commissioned in January 2014.
A dual qualified English solicitor and Zambian advocate with over fifteen years post qualification experience; Monica has held senior positions both in private practice (with Clifford Chance & Edward Nathan) and working as in house counsel at the International Finance Corporation in Washington DC.  Her most recent position was at Dangote Industries (Lagos, Nigeria) where she served as Director Legal and Corporate Affairs.  Monica was the project lead responsible for the Dangote Group’s $500m investment into Zambia to build the country’s largest cement plant, due to be completed in 2014.  Her experience working with one of Africa’s most successful entrepreneurs (Aliko Dangote) gave her the impetus to start her own business and in 2012, she moved back to Zambia and set up Java Foods.
Monica serves as a director on the Boards of the Bank of Zambia and Dangote Industries Zambia Limited.  She is also the Chairperson of Kwacha Pension Trust Fund.  She is a founding member of Jurispractice, an organisation that helps provide continuing legal education to lawyers in Zambia.  In February 2013, the African Leadership Institute invited Monica to become an Archbishop Desmond Tutu Leadership Associate.
Source: ukzambians.co.uk



HOW TO BECOME A GOOD COOK


It is a satisfying experience to make tasty meals for friends and family. Home-cooked meals are a wonderful way to make dinnertime a pleasant and memorable experience. The aroma of simmering marinara sauce or freshly baked bread spreads through the home and entices the senses. Anyone can learn to create magical food sensations. Cooking and baking are learned skills that improve with practice. Start cooking and learn how to make your favorite meals.

INSTRUCTIONS:

1

    • Purchase a good set of cooking utensils. Without the proper cooking utensils, it is difficult to make good meals. For starters, you should purchase a full set of pots and pans. Stores that carry kitchen cooking utensils usually sell pot-and-pan sets. A good set includes small and large saucepans with lids and small and large frying pans. Buy a measuring cup, measuring spoons, mixing bowls, pot holders and a strainer to complete your starter cooking set. As you get more experienced as a chef, you will find more kitchen utensils that you wish to purchase.
    • 2
      Watch cooking shows to learn cooking techniques and recipes. You can also take cooking classes at your local community college for a more thorough, hands-on learning experience.
    • 3
      Buy a cookbook with step-by-step recipe instructions. Look for a cookbook that includes a lot of pictures. Pictures are helpful because they show what the food should look like at different stages of the cooking process.
    • 4
      Plan out your meal before you make it. Make a grocery list of ingredients that you will need. Purchase all the items on your list.
    • 5
      Practice making a new recipe. Read the entire recipe before you start to cook so that get an understanding of the cooking process for the recipe you have chosen. Set out all your ingredients so that they are in easy reach. Before you start to cook, do any required prep work such as chopping vegetables and preheating the oven. Having everything in reach and prepared will make the cooking experience go more smoothly. Read the directions as you go along. Follow each step carefully. Do not skip any steps.


PAPA MPYA APATIKANA-VATICAN


Ni Kadinali Jorge Mario Bergoglio
Amezaliwa December 17, 1936 (age 76), Buenos Aires Nchini Argentina
 
Ni padre wa shirika la Majesuit akipata elimu yake katika chuo kikuu cha Buenos Aires
Kabla ya kuchaguliwa leo kua Papa alikua askofu mkuu wa Buenos Aires tangu mwaka 1998 na mwaka 2001 aliteuliwa kua Kadinali na Papa John Paul II.
 
Ni papa wa Kwanza kutoka bara ambalo lina aminika kuwa na waumini wengi wa Kanisa Katoliki (Latin America) akichagua jina la Francis I akifata mfano wa Mtakatifu Francis wa Asis mwanzilishi wa shirika la watawa wakapuchini.
Papa Francis amechaguliwa kufatia kujiuzulu wadhifa wa upapa kwa aliyekua Mtangulizi wake Papa Benedict XVI ambapo habari zinasema kua Papa huyu alishika nafasi ya Pili mwaka 2005 wakati Papa Benedict alipochaguliwa.
 
Mungu mbariki Papa Francis I!!!!
Mungu libariki Kanisa Katoliki!!!
Mungu Ubariki Ukristo wetu!!!!
 
CHANZO:

Monday, March 11, 2013

WANAWAKE WAJASIRIAMALI WASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE KWA KUONESHA BIDHAA ZAO...

bwe one kmati.jpg  
Kamati ya maandalizi katika picha ya pamoja na Mh. Angela Kairuki, Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye ndiye mgeni rasmi.
  
 bwe muziki  na mh.jpg
 Mh.Angela Kairuki akicheza mziki na wakinamama wajasiriamali

 waziri akizunguma na wana bwe.jpg
 Waziri akizungumza na wajasiriamali

 waziri one maonyesho.jpg
  Waziri akiangalia baadhi ya bidhaa za wakinamama


bwe wanawake.jpg

 Baadhi ya wajasiriamali waliohudhuria hafla hiyo

 Picha na  Angela Msangi - TBC1

Saturday, March 9, 2013

Kenyatta wins Kenya's presidential race, figures show.....


Supporters of Kenyan Prime Minister Raila Odinga watch election results on television in the Mathare slum in the Kenyan capital of Nairobi, March 8, 2013. REUTERS /Karel Prinsloo
Reuters/Reuters - Supporters of Kenyan Prime Minister Raila Odinga watch election results on television in the Mathare slum in the Kenyan capital of Nairobi, March 8, 2013. REUTERS /Karel Prinsloo

NAIROBI (Reuters) - The son of Kenya's founding president, Uhuru Kenyatta, won a presidential election with a slim margin of 50.03 percent of votes cast, provisional figures displayed by theelection commission on a screen showed on Saturday.
President Elect Uhuru J. Kenyatta
Kenyatta, who faces international charges of crimes against humanity, secured 6,173,433 votes out of a total of 12,338,667 ballots cast, indicating that he had secured the more than 50 percent of votes needed for a first round win.
(Reporting by George Obulutsa and James Macharia; Writing by Edmund Blair)

Source: Yahoo News

Wednesday, March 6, 2013

TASWIRA ZA ABSALOM KIBANDA AKIWA HOSPITALINI MUHIMBILI BAADA YA KUVAMIWA NA KUUMIZWA VIBAYA


Waziri wa Afya, Dk. Hussein Mwinyi, akimjulia hali Absalom Kibanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Magazeti ya Habari Corporation, Hussein Bashe, akimpa pole Kibanda.…


Waziri wa Afya, Dk. Hussein Mwinyi, akimjulia hali Absalom Kibanda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Magazeti ya Habari Corporation, Hussein Bashe, akimpa pole Kibanda.

Kibanda akiwa wodi ya wagonjwa mahututi (ICU).

 Wanahabari wakimjulia hali Kibanda pamoja na kupata machache kutoka kwake. 

Kibanda akiendelea kupata matibabu ICU.

Dk. Reginald Mengi (kushoto) akibadilishana mawazo na Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.   

Waziri wa Afya Dk. Hussein Mwinyi akibadilishana mawazo na Prof. Lawrence Maseru wa MOI.

Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi (kulia) akimpa pole, Afisa Mtendaji Mkuu wa Magazeti ya Habari Corporation, Hussein Bashe.
Baadhi ya majeraha aliyoyapata Kibanda.

MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri na Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Habari Corporation, Absalom Kibanda, usiku wa kuamkia leo amevamiwa na watu wasiojulikana wakati akivuka geti kuingia nyumbani kwake na gari yake aina ya Nissan. 
Wavamizi hao walivunja kioo cha gari lake na kumchomoa ambapo walimpiga mapanga na kumjeruhi vibaya jicho la kushoto. Baada ya kufanyiwa unyama huo Kibanda alikimbizwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kupatiwa matibabu ambapo amelazwa kwenye chumba cha wagonjwa mahututi ‘ICU’.


(PICHA ZOTE : RICHARD BUKOS NA HARUNI SANCHAWA / GPL)

CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS.


RAISI HUGO CHAVEZ WA VENEZUELA AFARIKI DUNIA



NEW YORK - SEPTEMBER 20: Venezuelan President Hugo Chavez speaks during a news conference while attending the United Nations General Assembly September 20, 2006 at the UN in New York City.The annual conference comes at a contentious time for the world body as sanctions are being considered for Iran, while separately; UN peacekeepers are taking part in 18 operations around the world. (Photo by Spencer Platt/Getty Images)
Rais wa Venezuela, Hugo Chavez, amefariki dunia leo (05.03.2013) baada ya kuugua saratani na hivyo kufikisha ukingoni uongozi wake wa miaka miwili katika taifa hilo la Amerika ya kusini lenye utajiri mkubwa wa mafuta.
Makamu wa Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ametangaza kupitia kituo cha televisheni nchini humo kuwa Chavez mwenye umri wa miaka 58 ameaga dunia na kusema kifo chake kimewaacha na uchungu mwingi.
Chavez amefariki katika hospitali ya kijeshi huko Caracass baada ya kuugua na kufanyiwa upasuaji mara nne uliosababisha afya yake kuzorota. Aligunduliwa kuwa na saratani ya tumbo mnamo mwezi Juni mwaka 2011 na amekuwa akifanyiwa matibabu nchini Cuba kabla ya kurejeshwa nyumbani.
Mnamo mwezi Oktoba mwaka jana, Chavez alishinda kirahisi muhula mwingine wa miaka sita kuliongoza taifa hilo kwenye uchaguzi mkuu lakini kutokana na hali yake mbaya ya afya hakuweza kuhudhuria shughuli ya kuapishwa kwake na hivyo kuilazimu mahakama ya juu nchini humo kuahirisha shughuli hiyo kwa mda usiojulikana.
Hisia za huzuni
Kifo chake kimewahuzinisha mamilioni wa wafuasi wake waliopendezwa na mtindo wake wa uongozi pamoja na sera zake kuhusiana na faida itokanayo na mafuta ya taifa hilo yaliyowapunguzia pakubwa mzigo wa gharama ya chakula na matibabu hasa kwa walioishi katika mitaa duni. Mamia ya wafuasi wa Chavez walikusanyika mbele ya hospitali alikofariki kiongozi huyo wakilia na kupiga kelele wakisema " Sisi sote ni Chavez"
UN chief Ban Ki-moon speaks during a press conference in Ankara, on December 7, 2012. UN chief Ban Ki-moon said on December 7 the use of chemical weapons by Syrian President Bashar al-Assad to combat the revolt would be an 'outrageous crime'. The UN chief, who flew to Turkey after visiting Jordan early Friday, repeated that he had written a letter to Assad urging him 'not to use under any circumstances chemical weapons' and warning him that 'it will create huge consequences.' AFP PHOTO/ADEM ALTAN (Photo credit should read ADEM ALTAN/AFP/Getty Images) 
Ban Ki Moon
Kumekuwa na hisia mbalimbali kote ulimwenguni kufuatia kifo cha Hugo Chavez, huku katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon akitoa risala zake za rambirambi, "Amekuwa akitoa mchango wake katika maendeleo ya nchi yake. Wakati huo huo, kama katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa, ningependa kutoa risala za rambirambi kwa familia, raia na serikali ya Venezuela kwa kumpoteza rais Chavez."
Katika taarifa yake rais wa Marekani, Barack Obama, amesema, "Wakati huu mgumu Marekani inasisitiza kuwasaidia watu wa Venezuela na ari yake ya kuendeleza uhusiano wa maana na serikali ya Venezuela,Huku Venezuela ikianza ukurasa mpya katika historia yake. Marekani inaunga mkono sera zinazoimarisha kanuni za demokrasia, utawala wa sheria na kuheshimiwa kwa haki za binaadamu."
Balozi wa Urusi katika Umoja wa Mataifa, Vitaly Churkin, amesema kifo cha Chavez ni janga kubwa na kwamba kiongozi huyo alikuwa mwanasiasa aliyesifika.
Kufuatia kifo cha rais Chavez, makamu wake ametangaza kuwa wanajeshi na polisi wamepelekwa kote nchini humo ili kulinda raia na kuhakikisha kuna amani, huku taifa hilo likiingia katika kipindi kigumu kisiasa na maombolezo.
Uchaguzi kufanyika
Kifo cha Chavez sasa kinatoa fursa ya kufanyika uchaguzi utakaodhihirisha kama mfumo wake wa uongozi wa kisosholisti utaandelea nchini humo bila yeye kuwepo. Uchaguzi unatarajiwa kufanywa katika siku 30 zijazo na kinyanganyiro kinatarajiwa kuwa kati ya makamu wa rais ambaye Chavez alimtaka kuwa mrithi wake wa kisiasa dhidi ya Henrique Capriles ambaye ni kiongozi wa upinzani aliyeshindwa na Chavez katika uchaguzi wa mwaka jana.
Miranda's Gov. Henrique Capriles waves to supporters after casting his ballot at a polling station in Caracas, Venezuela, Sunday, Dec. 16, 2012. Venezuelans are choosing governors and state lawmakers in elections that have become a key test of whether President Hugo Chavez's movement can endure if the socialist leader leaves the political stage. (AP Photo/Fernando Llano)Henrique Capriles
Venezuela ina kiwango kikubwa zaidi cha mafuta duniani na hivyo wawekezaji watafuatilia kwa makini na kuwa na wasiwasi kuhusu kuyumba kwa taifa hilo kisiasa. Kushindwa kwa Maduro kutaleta mabadiliko makubwa nchini humo na kutaathiri kwa kiasi kikubwa uhusiano wake na mataifa mengine ya Amerika kusini ambayo yalitegemea pakubwa ufadhili wa Chavez kutokana na mafuta hasa taifa la kikomunisti la Cuba ambalo liliweza kujikwamua kutoka hali mbaya kiuchumi katika miaka ya 90 kutokana na usaidizi wa Chavez.
Marekani yakanusha kuhusika
Wakati huo huo, Marekani imekanusha vikali madai ya kuwa ilihusika katika Rais Chavez kupata ugonjwa wa saratani na kuyataja madai hayo kuwa ya kuchekesha. Serikali ya Marekani ilitoa taarifa muda mfupi kabla kufariki kwa Chavez na kukanusha kuhusika kwa vyovyote vile na kifo cha Rais huyo kwa lengo la kulisambaratisha taifa hilo.
Uhusiano kati ya mataifa hayo mawili haujakuwa mzuri kutokana na msimamo mkali wa kisosholisti wa Rais Chavez. Venezuela imetangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa na marehemu Chavez atazikwa Ijumaa ijayo.

Mwandishi: Caro Robi/Reuters/AFP/dpa

Mhariri: Josephat Charo.

Chanzo: DW-SWAHILI

Tuesday, March 5, 2013

PRAISE THE LORD



CAN SOMEONE SAY AMEN WITH ME??
GOD BLESS YOU ALL.


VUNJA MBAVU NA KATUNI KUTOKA GLOBAL PUBLISHERS......





Mie hapa mbavu sina hasa huyo anaetaka mwenye anamdai asahau lolest!

Chanzo: Global Publishers



Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...