Sunday, July 31, 2011
Ramadhani Kareem
NAWATAKIA MFUNGO MWEMA NDUGU JAMAA NA WADAU WOTE AMBAO NI WAISLAMU.NA KWA WENGINE AMBAO SIO WAISLAMU CHONDE CHONDE MAVAZI YENU YAWE YA STARA MSIHARIBU SWAUMU ZA WENZETU.
Friday, July 29, 2011
Thursday, July 28, 2011
Wednesday, July 27, 2011
Housegirl atoroka na mtoto wa Tajiri yake!
Wapendwa,
Baada ya kushuhudia kisa hiki kilichompata mfanyakazi mwenzangu, nikaona ni vyema kuwa alart wengine wenu ambao mna watoto wadogo.
Jana majira ya mchana hivi dada mmoja nafanya nae kazi alipigiwa simu kutoka Chalinze kituo cha polisi akaulizwa kama ana mtoto anayeitwa Brian na kama ana msichana wa kazi
wakataja jina lake. Dada akajibu ni kweli akaambiwa sasa hawa watu wako hapa kituoni wameletwa na konda wa basi lililokuwa linaelekea Nairobi.
Kisa chenyewe housegirl alimfungasha mtoto wa watu kaenda nae Ubungo kapanda basi, sasa baadae konda akawa anapita kukagua tiketi nadhani,sasa housegirl hana ticket akaulizwa nauli yako dada...hana..mh dada unapandaje gari huna nauli...
hana majibu....wakamuuliza unaelekea wapi...akasema anampeleka mtoto shule huko Nairobi ametumwa na wazazi wa mtoto (mtoto ana kama miaka 3-4).
Naona hapo konda wakaona kunalo jambo, so walichofanya walimpeleka kituo cha polisi cha Chalinze akatoe maelezo zaidi. Alipobanwa ndo akatoa maelezo ya mwajiri wake na namba za simu polisi wakampigia huyu dada.Dada kampata mtoto lakini bado ana shughuli ya kutoa maelezo polisi na mambo kama hayo wakati housegirl kashikiliwa na polisi. Wazazi sijui mtumie mbinu gani za kuhakikisha usalama wa watoto wenu..!
Mungu atusaidie..!
Special Thanks:
Miss Elizabeth Gervas Mtegwa,
Research and Development Officer,
Tanzania Industrial Research and Development Organization,
Baada ya kushuhudia kisa hiki kilichompata mfanyakazi mwenzangu, nikaona ni vyema kuwa alart wengine wenu ambao mna watoto wadogo.
Jana majira ya mchana hivi dada mmoja nafanya nae kazi alipigiwa simu kutoka Chalinze kituo cha polisi akaulizwa kama ana mtoto anayeitwa Brian na kama ana msichana wa kazi
wakataja jina lake. Dada akajibu ni kweli akaambiwa sasa hawa watu wako hapa kituoni wameletwa na konda wa basi lililokuwa linaelekea Nairobi.
Kisa chenyewe housegirl alimfungasha mtoto wa watu kaenda nae Ubungo kapanda basi, sasa baadae konda akawa anapita kukagua tiketi nadhani,sasa housegirl hana ticket akaulizwa nauli yako dada...hana..mh dada unapandaje gari huna nauli...
hana majibu....wakamuuliza unaelekea wapi...akasema anampeleka mtoto shule huko Nairobi ametumwa na wazazi wa mtoto (mtoto ana kama miaka 3-4).
Naona hapo konda wakaona kunalo jambo, so walichofanya walimpeleka kituo cha polisi cha Chalinze akatoe maelezo zaidi. Alipobanwa ndo akatoa maelezo ya mwajiri wake na namba za simu polisi wakampigia huyu dada.Dada kampata mtoto lakini bado ana shughuli ya kutoa maelezo polisi na mambo kama hayo wakati housegirl kashikiliwa na polisi. Wazazi sijui mtumie mbinu gani za kuhakikisha usalama wa watoto wenu..!
Mungu atusaidie..!
Special Thanks:
Miss Elizabeth Gervas Mtegwa,
Research and Development Officer,
Tanzania Industrial Research and Development Organization,
MITCH WINEHOUSE PAY TRIBUTE TO HIS DAUGHTER

"Amy was the greatest daughter, family member and friend you could ever have.Sleep Tight Angel......Said Mitch Winehouse -Amy's father during the funeral.
Tuesday, July 26, 2011
Amy Winehouse

All the right elements were there; the strong flick of eyeliner, the ever-increasing beehive, the full lips and the headscarves but Amy Winehouse's look was all her own!
R.I.P Amy Winehouse.
HOW TO MAKE FAT PEOPLE SLIM

Once you are fat it is unlikely you will ever return to your former size, no matter how hard you diet.
Scientists have confirmed what most dieters already suspect; most people who lose weight end up putting it back on again, according to a long-term study of 25,000 men and women living in the UK.
The scientists, from the Medical Research Council's National Survey of Health and Development, tracked 5,362 adults who were born in 1946, and 20,000 born in 1958, assessing their weight, blood pressure and lifestyles.
While around 12 million Britons go on diets of one kind or another every year, only around 10 per cent lose a significant amount of weight, and most regain it within a year.
Dr Rebecca Hardy told the Sunday Times: "Both groups began increasing in weight in the 1980s and since then people have been increasing in mass all through life.
"For men it goes steadily through life. For women it starts slowly and accelerates in the mid-thirties. Once people become overweight they continue relentlessly upwards. They hardly ever go back down.
"A few lose weight but very few get back to normal. The best policy is to prevent people becoming
overweight."

However, the study findings don't mean that all diets are a waste of time. Some, which promote eating healthier foods and increasing physical activity, can still make a positive impact on a person's health.
Around six out of 10 adults in the UK are now overweight, with one in four categorised as obese.
Special Thanks:
© Luis Louro - Fotolia.com
Monday, July 25, 2011
President Jacob Zuma's Daughters' Wedding
Above: Zuma and her daughter-Duduzile
Duduzile and her Husband
Stunning dress!!
.....walk down the aisle
just married :)
Their first dance
The cake....sweeeeeeet
...all the best on your Marriage....
Special Thanks:
Story &Photo: Wedding Bells
9 things you shouldn’t say to your child
I just read a really interesting article by Paula Spencer, which outlines the nine things you should never say to your children. It's a good, informative piece that explains not only why you shouldn't say these things but suggests alternatives.
Paula also points out that of course, us mums cant always waft around in a cloud of freshly baked cookie scent, being endlessly sweet and patient and sometimes we do snap; the question is, how often and how brutally do you verbally swipe at your offspring?
Having glanced at the comments underneath Paula's article I didn't need to read further than the first, which simply said "I've said every one" then the mum in question backed up that statement with a sad face made entirely from punctuation, to illustrate just how dissatisfied she is with her loose tongue.
Well, I can tell that mum to turn that frown (or rather bracket) upside down as she ain't alone!
So, just for fun, lets go through the nine don'ts and play a bit of "bad mummy bingo", fingers crossed you don't get a full house.
1) "Leave me alone!"
Ok, so this one I've definitely said, to be precise though I say the Northern version, handed down through generations of proud Boltonian women: "Stop mithering!"
See also "Get out from under my feet!" which is most effective when thundered lovingly from atop a juddering ample bosom clad in a housecoat.
This one is a no-brainer for me; when pans are bubbling over and there's a child pulling at your arms, I see it as a warm shooing away for their own safety. Ok, next:
2) "You're so.."
Hmm, this is an interesting one 'cos there's so many words you can tag onto this: selfish/lazy/stupid are ones I'd never ever use. Daft/dramatic/soppy maybe, but said in a chiding way, though probably not ideal. Must try harder Saz. Labeling your child by telling them they are something is probably best avoided, unless its "You're so gorgeous/sweet/brilliant"
3) "Don't cry"
Yep, said it. This isn't really a bad one. It's more about validating their feelings. Saying "you must be sad Jamie cant play out today" is preferable though does take a while.
4) "Why can't you be more like your sister?"
This one only works if your child has a sister, otherwise they'll think you're insane. I don't do this one, but must confess to saying pointedly, "Oh, good girl Lola, eating your dinner so nicely" as Isaac rubs mashed potato in his hair.
5) "You Know Better Than That!"
Oh no. Wish I'd never started this! Yup, I've definitely said a version of that to Lola. When she's wrestling with a 6-pint carton of milk and spills it (though not worth crying over) I have been known to say "You kinda knew that'd happen, ask me for help next time". I suppose next time I ought to miss off the first half of the statement. Or buy smaller cartons of milk.
6) "Stop or I'll give you something to cry about!"
Ok, this one I never say. For two reasons: my mum used to say it a lot and I remember hating the menacing undercurrent of a promised smack and also, I'm a firm believer in following through threats and seeing as I don't hit my kids, this threat would be pointless.
I must however say I do now with hindsight understand why my mum would say it, as there are few things more annoying than a child theatrically bursting into tears at the drop of a hat/flapjack/crayon. It's manipulative and noisy.
7) "Hurry up!"
Well, I may as well get this one tattooed somewhere on my midriff to save time in a morning, so when I'm halfway out the door on a rainy Monday AM with a baby/blazer/book bag/games kit in my arms and my darling daughter not only hasn't put her shoes on (as I've asked her to six times) but is instead perched on the stairs plaiting her dolls hair I can simply flash my tummy tattoo instead of growling "hurry up" through a mouthful of half-munched apple.
8) "Wait 'til daddy gets home!"
Never said it. That's no threat. I'm the boss and they know it. In fact, they're probably excited about his arrival home to save them from me.
9) "Great job!" or "good girl!"
Hmm, apparently its better to be more specific, like "I can see how beautifully you've coloured in the butterfly wings on that picture" which obviously takes longer. I'm taking that one on board and will do my best, unless of course the butterfly is being illustrated when she should be getting her school shoes on (see above)
So that's the naughty nine. Whatever your score there's probably room for improvement but let's not beat ourselves up too much. I'm sure most of us had some of the 9 said to us as children and we're ok.
Friday, July 22, 2011
Thursday, July 21, 2011
KATIBU MKUU WA WIZARA YA NISHATI NA MADINI ASIMAMISHWA KAZI!
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, David Jairo (pichani) amesimaishwa kazi! Akiongea na waandishi wa habari mjini Dodoma mapema leo, Katibu Mkuu Kiongozi, Philomon Luhanjo, alisema kuwa Jairo amesimamishwa kazi kuanzia kesho ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili zilizotolewa bungeni mapema wiki hii. Jairo anatuhumiwa kuandika barua ya kuchangisha fedha milioni 50 kwa idara 20 ili zitumike kushawishi wabunge wapitishe bajeti ya wizara yake. Haijaelezwa amesimamishwa kwa muda gani.
SIKU NJEMA
WAPENDWA WA MAJOY MNIWIE RADHI LEO SIJISIKII VIZURI NIMESHINDWA KUPOSTI CHOCHOTE ILA NAWAAHIDI KESHO TUTAKUA PAMOJA KUHABARISHANA.VILEVILE WEWE MPENZI WA MAJOY UNARUHUSIWA KUSHARE NASI JAMBO LOLOTE UNALOONA LAFAA KUSHARE,KUULIZA AU KUOMBA USHAURI WA KITU CHOCHOTE NITUMIE KUPITIA
NAMI NITAKIRUSHA HEWANI KWA FAIDA YETU SOTE.
NAWATAKIA JIONI TULIVU YENYE AMANI NA ULINZI WA KUTOSHA!!!!!.
Wednesday, July 20, 2011
MOTHER'S LOVE
A simple, yet very expressive snap!
(Amma, Aai, Ammi, Maa, Mom, Mummy,Mama whatever name we use to call her. She is great!)
THERE IS NOTHING IN THE WORLD BETTER THAN MOTHER'S LOVE.......
...Nothing in this world is better than a Mother...
(Amma, Aai, Ammi, Maa, Mom, Mummy,Mama whatever name we use to call her. She is great!)
THERE IS NOTHING IN THE WORLD BETTER THAN MOTHER'S LOVE.......
...Nothing in this world is better than a Mother...
Figure-flattering bodycon? Yes, it can be done!
Tor Brierley writes: The only women who look good in bodycon dresses are the ones that look like supermodels. And although I wish I fell into that category, I categorically don't!
However the bodycon style isn't going anywhere, and it's a hot summer look: especially for those long balmy nights!
So, how can you wear a bodycon dress and still disguise all of your lumps and bumps? Look for one which is accentuated with figure-flattering draping.
This asymetric panel dress from Lipsy is the perfect example: it's gentle draping is designed to soften hips and tummies, whilst still showing off your gorgeous figure.
Still not feeling body-confident enough for bodycon? Then invest in a pair of Spanx, and believe me when I say they will be your new best friend!
Credits to:Fashion bloggers Tor Brierley and Jennifer Inglis
Post-holiday beauty help

1. Use a hydrating face treatment
Sun exposure dries out the skin and you might find yours peeling as you return home from holidays. To prevent and combat dry skin, opt for deeply hydrating natural treatments.
For example, derma e's Hyalauronic Acid Rehydrating Serum is both natural and organic and quenches your skin's thirst, plumping and hydrating the skin. The Hyalauronic Acid molecule is known as nature's 'moisture magnet' as it is capable of retaining up to 1,000 times its own weight in water.
Flights can be deeply dehydrating, so make sure you drink plenty of water, and keep a hydrating mist on hand. Try the Hyalauronic Acid Hydrating Mist from derma e, the best-selling natural skincare range in the US.
Alternatively, Aubrey Organics Sparkling Mineral Water Herbal Complexion Mist cools, soothes and hydrates skin for a pick-me-up. It contains Vitamin B-Complex to draw moisture to the skin, organics aloe vera to restore moisture balance and sparkling mineral water for hydration. Spray over make-up or under moisturiser for better absorption.
2. Prolong your tan
Losing your safe tan certainly doesn't help keep the post-holiday bluses at bay. Make sure you maximise your suntan with appropriate skin balms. Try Egyptian Magic, a multi-tasking all-natural skin balm, which counts Eva Mendes, Gisele Bundchenand Madonna among its fans.
Stick a pot in your holiday suitcase - it's also great for healing and minimising the effects of sun burn, scars, insect bites and rashes.
Yes To Cucumbers Daily Calming Moisturiser is a gorgeous soothing post-holiday face cream that will help keep you smooth, hydrated and cool as a cucumber even after your trip. Pop it in the fridge for an extra cooling effect that will awaken and soothe the delicate eye area.
3. Apply all-over moisture
Your skin will be crying out for moisture when you get home - so even if you're not an all-over girl, now's the time to invest in a rich body cream. Try BeautyLab's Peptide tanning product to feed your skin while prolonging that glow
Special thanks: Zest
Tuesday, July 19, 2011
UJASIRIAMALI -MAPAZIA
Mapazia mazuri na yakupendeza yanapatikana kwa bei poa ya sh.25000/- kwa pc ya mita tatu urefu na upana wa mita moja na nusu.rangi ni mixed maroon and cream na gold and brown.
Wahi sasa zimebaki pisi chache.
Kumbuka ni ya mitumba ya kisasa kutoka mamtoni lol!.Design ikiisha hairudi tenaaaaaaaaaa!!
Wahi sasa zimebaki pisi chache.
Kumbuka ni ya mitumba ya kisasa kutoka mamtoni lol!.Design ikiisha hairudi tenaaaaaaaaaa!!
Friday, July 15, 2011
Nawatakia Weekend Njema
Muwe na weekend yenye baraka na mafanikio katika kila mfanyalo mtangulizeni Mungu katika kila mfanyalo
Kumbuka ulevi Nomaaaa!!!!
Thursday, July 14, 2011
Wageni 1,000 kualikwa - Kim Kardashian wedding
Bi dada amepania kufanya bonge la pati litakalohudhuria na watu maarufu kibao na shughuli nzima itarushwa ktk kipindi chake cha Kim K -Reality Tv Show.kwa taarifa ni kwamba ameshakutana na mwanamitindo wa kimataifa Vera Wang kujadili kuhusu gauni atakalovaa ambalo anataka linalobana na mkia mkuuuuuuuuubwa utakaonakshiwa kwa Almasi Duh shost anataka harusi yake iwe kama ya Prince Will na Cate lol!!
Shukrani za Pekee: BANG Media International
Shukrani za Pekee: BANG Media International
Nimependaaaaaaaaaa
Nimependa muonekano jamani tuseme tu ule ukweli anavutia sana
Hebu mcheki anavyong'ara anaitwa Emma-Watson
Wednesday, July 13, 2011
Mrembo na Mwanamitindo Millen Magese
Ni mmoja kati ya warembo waliowahi kushika nafasi za juu katika mashindano ya urembo Tanzania nampenda sababu ni mrembo anaejituma na kuipenda kazi yake ya uanamitindo.Nakupongeza Millen kwa kuitangaza vema Tanzania kupitia kazi zako.
Baadhi ya picha zake akiwa kazini jijini Lagos Nigeria.
special thanks:
Source: Bella Naija
Photography: Moussa Moussa
Makeup: Bimpe Onakoya
Styling: JBL Team
Model: Millen Magese
Makeup: Bimpe Onakoya
Styling: JBL Team
Model: Millen Magese
Old fashions Become New Trends nowdays!!
Kwa kipindi kirefu sasa katika ulimwengu wa mitindo na mavazi yanayobuniwa ni yale amabayo yalitamba sana enzi hizoooooooo za mabibi zetu na mama zetu wakiwa wasichana.Mishono kama mwanameka,shingo debe, sinia na kadhalika...
Hivyo basi wewe dada wa kileo usikubali kupitwa jipatie vivazi ili uendane na wakati.
usikubali kupitwa tembelea kwenye maduka yaliyo jirani na wewe ujipatie la kwako.
| huu uliitwa mwanameka |
| huu shingo ya sinia |
| hii iliitwa shingo ncha ya sambusa |
| maarufu kama vibwaya |
Usikubali kupitwa na mitindo ya kileo kama hiyo ambayo enzi hizo ilikua ni mast have lol!!
Photo: thanks to Theblueboxtoday.com
Photo: thanks to Theblueboxtoday.com
Subscribe to:
Posts (Atom)





























